Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado zipo? Naomba connectionHizo ngoma zilikuwa zinauzwa 68million zilikuw zipo kigoma zilitoka maliza mradi wiki tatu zilizopita zilikuwa 6View attachment 2220376
Hoja yangu ni wewe kubisha kuwa hilo gari sio used wakati limeshatembea kilometa zaidi ya laki 2.Kwa io unategemea unaweza pata fuso ya 50,000km😂😂😂 c ndio?? ushawai kuagza gari kubwa lakin nisijekuwa nabishana na mtu amby aelewi chochote
Gari yoyote inayoagizwa io inajulkana ni used japan bongo mpya..Hoja yangu ni wewe kubisha kuwa hilo gari sio used wakati limeshatembea kilometa zaidi ya laki 2.
Mambo ya bei sijagusia...
Na kama nimeshaagiza magari makubwa hilo halikuhusu
ukiagiza hii ww c utapiga kelele humuHoja yangu ni wewe kubisha kuwa hilo gari sio used wakati limeshatembea kilometa zaidi ya laki 2.
Mambo ya bei sijagusia...
Na kama nimeshaagiza magari makubwa hilo halikuhusu
Kwihiyo hii ni mpya au used mkuu???
Cha msingi hio Fuso Ni used,story mingi hazisaidii.
Used Japan, tanzania mpya .. kuna two types pf used .. Used form Japenga na Used form TanzaniaCha msingi hio Fuso Ni used,story mingi hazisaidii.
Eti ni jipya hiloGari imetengenezwa mwaka 1998, imetembea 200K kilometers.... sio used?
Sijakuelewa mkuu! Unamaanisha hizo gari ni cheaper au ni expensive zikilinganishwa na mende?Hizo ngoma zilikuwa zinauzwa 68million zilikuw zipo kigoma zilitoka maliza mradi wiki tatu zilizopita zilikuwa 6View attachment 2220376
Kama kitaa sawa mkuu, nilifikiri zakuagiza!Zipo nyingi tu Kitaa Mkuu!
Shida awaelewi muelewesheUsed Japan, tanzania mpya .. kuna two types pf used .. Used form Japenga na Used form Tanzania
io used japan bongo mpyaKwihiyo hii ni mpya au used mkuu???
Maadam hatujuani ila kitu kimoja kiko wazi kabisa hapa. Wewe ni dalali bwege haijawahi kutokea aina yako hapa JF. Infact unawaharibia madalali wenzio feki kazi zao.
Babuuu punguza hasira...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maadam hatujuani ila kitu kimoja kiko wazi kabisa hapa. Wewe ni dalali bwege haijawahi kutokea aina yako hapa JF. Infact unawaharibia madalali wenzio feki kazi zao.
Huo mtakataka wako huwezi kuuza kwa bei hiyo. Labda uwapate wasukuma waliotokea Charo.
Njoo nikuuzie chuma cha.kisasa kabisa ambacho hakina kutu kwa.nusu ya bei yako.
Acha wizi
😂😂😂😂😂😂😂mm namwambia ukwel sielewi anapanick nnBabuuu punguza hasira...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
😅 Niko registered brela,nalipa kodi na nina ofisi sawa kiongozi sijaanza biashara jana sawa kijana😀Maadam hatujuani ila kitu kimoja kiko wazi kabisa hapa. Wewe ni dalali bwege haijawahi kutokea aina yako hapa JF. Infact unawaharibia madalali wenzio feki kazi zao.
Huo mtakataka wako huwezi kuuza kwa bei hiyo. Labda uwapate wasukuma waliotokea Charo.
Njoo nikuuzie chuma cha.kisasa kabisa ambacho hakina kutu kwa.nusu ya bei yako.
Acha wizi