2008 black 1500cc push start DVD player aftermarket Rims 16,5 million negotiable. Kuiona au maelezo zaikai kuhusu gari hii. Pigs sims au whatsapp 0784225000













 
Ushuru umelipwa tayari, automatic, toleo la 2004, imetumika nje (Haijatunika tz), kwa sasa ipo Tanzania tiyari, Automatic, Injini 1600cc, Bei 16.5mil.

Kuiona au habari zaidi kuhusu gari hii au unahitaji kununua gari ambalo imeshatumika Tanzania lakini lipo katika hali nzuri au una gari unaliuza unahitaji nikusaidie kukuonganisha na mnunuzi piga au tuwasiliane kwa whatsapp +255784225000.








 
Automatic, ushuru umelipwa, bei maelewano, Hali yake: imetumika ng’ambo, mwaka wa kuzaliwa 2006, hivi sasa ipo Dar es Salaam Tanzania. Bei 14,500,000

Kuiona au habari zaidi kuhusu gari hii au unahitaji kununua gari ambalo imeshatumika Tanzania lakini lipo katika hali nzuri au una gari unaliuza unahitaji nikusaidie kukuonganisha na mnunuzi piga au tuwasiliane kwa whatsapp +255784225000








 
Hizi gari kuna wahuni flani hv huwa wanazipenda....
wale wazee wa kula tunda kimasikhara
 
Watu bwana! Hiyo model mnataka iuzwe shingap? Au mnafananisha na old model?
 
Mkuu Kitomai unaeza uza hiyo Alphard ikiwa tu utaeleza hiyo Alphard unayouza 38M ina tofauti gani na Alphard nyingine zinazouzwa hadi 16M. Kwa kufanya hvy utaeza kumshawishi mnunuzi.
 
2000 model year
Registered number B plate
Automatic straight Gear transmission
4.4L 1hd-fte engine 24-valve diesel power
5 seater passenger
Clean interior with creamy seat covers
Android screen radio for Bluetooth, aux and other internet applications
Non-repainted, no any mechanical faults in the car
The car is clean with a very immaculate condition
PRICE IS 45 MILLION TSHS ABIT NEGOTIABLE
To view call/whatsapp +255784225000









 
Extremely large 5 bed ground floor apartment, a modern luxury standard is for rent unfurnished.

Offering a total of 350m2 interior, this 5 bed apartment is one of the largest in the urbanization. Inside, the property features an impressive entrance hall, a huge open-plan living and dining area a modern luxury kitchen.

There are four en-suite bedrooms, lots of wardrobe space and luxury bathrooms. one bedroom has a shared bathroom

The property includes fully ACs and Celling fans throughout. Other features the highest quality tiles flooring throughout.

There are also 2 spaces plus plentiful guest parking. A uniquely large luxury ground floor offering with privacy garden. Must be seen!
Interested? Please schedule a visit, a day and time by calling or whatsapp +255784225000















 
Inapatikana –Mtaa wa Mosque , Posta.

Nyumba ina jiko lenye makabati, mahala pa kula, subule, choo, bafu na vyumba viwili vya kulala. Ni nadra sana kupata sokoni nyumba kama hii ikiuzwa bei kama hiyo Dar city centre fursa kama hizi utokea mara chache sana.

Umeipenda? Wasiliana nami kwa sms, whatsapp au kwa kupiga simu. Pia zinazo nyumba nyingine na viwanja vinavyouzwa maeneo ya Upanga pamoja maeneo mengine ya jiji. Pia hata kama una nyumba au kiwanja unakiuza wasiliana name nikutangazia katika tovuti yetu ya Nyumba na Viwanja bureeee! +255784225000.

NOTE.
Hii apartment a.k.a nyumba ya ghorofani ipo katika Makazi bora zaidi yaliyopo katika maeneo yanayoloruhusu wakazi kufikia maeneo ya umma, fursa za ajira, huduma za afya, shule, vituo vya kulelea watoto na maeneo mingine muhimu ya kijamii kirahisi. Ipo katika kitovu cha jiji la Biashara. Miliki nyumba hii kwa matumizi ya kuishi na ukiwa utaifanya kama kitegauchumi basi utakosa kodi isiyopungua TSHS 700,000 kwa mwezi.

 
Manual gear
Caburator petrol engine
Clean condition
PRICE IS 4.5 MILLION TSHS CHAP CHAP
Kuiona piga simu 0784225000






 
Nadhani ungeonyesha na jengo lenyewe kwa nje ambamo ipo hiyo appartment ingesaidia.
 
Service charge bei gani kwa mwezi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…