House4Sale Tunauza na kupangisha nyumba za aina mbalimbali
Aahahahahahaa ila wanaume....!

Mna roho ya pekee kabisa, mbio kuja kununua mchepuko wa mwenzio....!πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Of course it’s more of a joke...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Heeeeh...!!!

Basi wifi leo atakufurahia sana, uwahi kurudi nyumbani sasa, umpelekee na zawadi.
Hayo mambo ya wifi yanakujaje hapa aisee??

Mimi nazungumzia hisia zangu kwako.

Na ndio unachopaswa kukizingatia zaidi.
 
Hayo mambo ya wifi yanakujaje hapa aisee??

Mimi nazungumzia hisia zangu kwako.

Na ndio unachopaswa kukizingatia zaidi.

Nilikuwa nakutoa kwenye reli kumbe hutaki kutoka....!

Basi ngoja nitoke mimi....

Mimi ni mchepuko halali wa Babu, jiandae na varangati baada ya hapa maana hataki kabisa mali zake zizengwe zengwe...πŸ˜…
 
Kasie Kaa mguu sawa, waangalie ukiwapa nafasi kdg tu, ushakatibisha mtongozano, Hali najua wewe ni ME na sio KE
 
Nilikuwa nakutoa kwenye reli kumbe hutaki kutoka....!

Basi ngoja nitoke mimi....

Mimi ni mchepuko halali wa Babu, jiandae na varangati baada ya hapa maana hataki kabisa mali zake zizengwe zengwe...πŸ˜…
Bado sijakuelewa.
 
Kasie Kaa mguu sawa, waangalie ukiwapa nafasi kdg tu, ushakatibisha mtongozano, Hali najua wewe ni ME na sio KE


Huyu Stroke anahamu ya kukutana na jikedume aka shemale...

Shauri lake, mtoto akililia wembe....!
 
Ni Apartment yenye ukubwa sqm 250

Ina muonekano wa kuvutia.

Ina Sea View (Muonekano wa Bahari na City View (Muonekano wa Mji). Muonekano wa jiji na bahari unaonekana ikiwa umesimama au umekaa katika balicony na vibalaza.

Ina vyumba vitatu vya kulala vinavyojitoshereza, subule kubwa, jiko la kisasa na mahala pa kulia,
Ni nyumba imara inayoweza kumudu mazingira kwa muda mrefu pasipo kufanyiwa marekebisho yasiyo na ulazima wowote

Hii ni nyumba imejengwa kwa malighafi bora, mafundi na wasimamizi bora! Wahi nyumba hii sasa.
Inauzwa na furniture zake. Ipo katika jengo lenye lift, genereta, bwawa la kuogelea na gym.

Panga siku na muda wa uje ujionee mwenyewe.
Mawasiliano +255 755 312 233
PHOTO-2022-07-22-08-07-24.jpg
 

Attachments

  • IMG_0837.JPG
    IMG_0837.JPG
    166.5 KB · Views: 9
  • IMG_0841.JPG
    IMG_0841.JPG
    210.2 KB · Views: 9
  • IMG_0846.JPG
    IMG_0846.JPG
    201.4 KB · Views: 8
  • IMG_0848.JPG
    IMG_0848.JPG
    288.2 KB · Views: 9
  • IMG_0849.JPG
    IMG_0849.JPG
    268.8 KB · Views: 10
  • IMG_0850.JPG
    IMG_0850.JPG
    144.4 KB · Views: 7
  • PHOTO-2022-07-22-08-07-26_2.jpg
    PHOTO-2022-07-22-08-07-26_2.jpg
    89.1 KB · Views: 9
  • PHOTO-2022-07-22-08-07-26_3.jpg
    PHOTO-2022-07-22-08-07-26_3.jpg
    42.7 KB · Views: 5
  • PHOTO-2022-07-22-08-07-28_2.jpg
    PHOTO-2022-07-22-08-07-28_2.jpg
    76.5 KB · Views: 8
  • PHOTO-2022-07-22-08-07-29_1.jpg
    PHOTO-2022-07-22-08-07-29_1.jpg
    63.3 KB · Views: 9
Jamii forums hamna mtu wa kununua nyumba ya hela hiyo, hapo kinachouzwa ni umaarufu wa eneo. Nikienda chanika nyumba ya milion 100 ni bonge la nyumba najenga.
 
Ni Milioni 690 sio Milioni 690,000,000
Au andika ni Sh 690,000,000
maana kiwango ulichoandika unaweza kununua nyumba zote za Dar
Aise nimeona sasa ninajaribu kufanya edit ya kichwa cha habari. Nikibpfya edit naweza ku edit contents lakini kichwa cha habari inashindikana naomba msaada hapo
 
Jamii forums hamna mtu wa kununua nyumba ya hela hiyo, hapo kinachouzwa ni umaarufu wa eneo. Nikienda chanika nyumba ya milion 100 ni bonge la nyumba najenga.
Kwa mujibu wa ALEXA, JF ndio mtandao nambari moja unatembelewa na watu wengi zaidi hapa Tanzania( Hii inanganishwa na tovuti nyingine za local). hizo tano juu yale ni za kigeni. Sasa unaachaje kwa mfano kutotangaza katika tovuti kama hii!!!! Wanunuzi wa nyumba kama hizi wao wanapiga simu moja kwa moja na kuanzisha mazungumzo.
Pia umeshajua kazi yangu ukihitaji hata nyumba ya 100 nipigie 0755312233.
 
Back
Top Bottom