dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #2,041
Nimeona nitumie ramani tu hiyo mkuu maana kiwanja hakina kitu ni tupu tu.ila kama unahitaji picha zake naweza kwenda kukuchukulia.karibu sanaMbona bei dogo hvyo? Alafu hapo pembeni ni ghorofa ngap?
Poa sana ndgAhsante kwa taarifa...
Poa sana mkuuAhsante kwa taarifa...
Shukrani mkuuAhsante kwa taarifa...
Ndio mkuuJe? Hii nyumba ina milango mbele na nyuma? Kwa maana ya kuingilia (mbele) na nyuma?
Shukrani mkuuAhsante kwa taarifa...
[emoji134]kuna mtu anaenda kulizwa muda si mrefunani kakuandikia hapo usimamishe ujenzi,naona mwaka jana ulikatazwa kujenga
Kama ni Madale hata Nyumba yangu walichora hivyo hivyo watu wa Manispaa eti SIMAMISHA UJENZI,kimsingi Nyumba zote kabla hujajenga unatakiwa uwe na Kibali cha Manispaa,sasa sie wengine ukinunua tu kiwanja unaanza kujenga bila Kibali,kwa Madale nadhani nyumba zote walizichora hayo maandishi,ukienda Manispaa wanataka pesa tu Laki Tatu basi mchezo umeisha,tena nyingine wamechora hayo maandishi wakati watu wameshahamia na kuhamia,uhuni tu
una IDs ngapi ?Manispaa Kinondoni wahuni sana,nami narudi kutoka mihangaiko yangu nakuta wamechora nyumba yangu hukohuko Madale Flamingo Simamisha Ujenzi nikashangaa,kumuuliza jirani yangu nae wamemchorea hivyohivyo,asubuhi tukawafuata ofisini kwao,tukawapoza na Lakilaki wakatupa hivyo vikaratasi vyao eti ndio vibali daaah,upigaji nchi hii hautakuja kwisha[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji769] Hahahahauna IDs ngapi ?