loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,376
- 1,752
Kiluvya napajua vzr ana bonge moja la eneo karibu heka zaidi ata ya kumi na anatumia kuchungia mifugo yake tu ole wako ukutwe hko na mifugo isiyo yake.Hapa dar es salaam na pwani kuna maeneo mengi sana Sumaye aliyashika
Kuanzia Chanika kuna mtaa wa Sumaye
Bunju kuna mtaa wa sumaye
Kiluvya kuna mtaa wa sumaye
Kibaha kongowe kuna mtaa wa sumaye
Kote huko jamaa ana maeneo makubwa sana
Nilivoona hiyo location ya kwa ndugai ndo nkamkumbuka Sumaye
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona mbali mkuu ili Yesu akifika na mkewe uwapokee kabisaNinunue niwe jirani na Mzee wa kapelenaumo
Eti ni yule wa kapelinaum , jirani na yesu na mkeweJirani na Ndugai yupi tena!! Yule yule wa Kongwa, au mwingine!!
😂Si ndio, Mke wa Yesu lazima atafika kwa Ndugai sababu ,Ndugai ndio binadamu wa kwanza kutambua muunganiko huoUmeona mbali mkuu ili Yesu akifika na mkewe uwapokee kabisa
Siwezi kuamini kuwa ana helicopter lakini hana nyumba yake ya kuishi.Baba levo hizi ndiyo zilipashwa ziwe kazi zake za kumuondoa Daimond kwenye nyumba ya Kupanga na kumuweka humu sijui hawa wasanii akilii zao zipo wapi..
[emoji23][emoji23][emoji23] We na Asprin vichwa vyenu vinawaza mbususu tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wala huna shida ya kuongea...mchuchu wenyewe unavua kyupi...wee ni kutembeza bakora ya de libolo. Wee kila wikend ni kuwaalika warembo mjengoni unapiga sex party tuu
[emoji23][emoji23][emoji23] ila we jamaaNgoja nikaandae Mkeka wangu wa Bilioni 1 nije kununua hapo
[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee, 3k ya kuongezea kwenye hiyo 10k inakuwazisha, pesa ya chakula cha binti utakuwa nayo kweli!!? Vipi kuhusu pesa ya manunuzi?Safi sana. Ngoja nikaangalie Vyumba pale Mtungo Guest kama vipo na watakubali kuchukua 7 badala ya 10,000 nipige tu masaa kama 5 hivi.
Hapa bob utakuwa umecheza sana. Uje na mikataba kabisa...maana nikimla tu huyu dem wakati wa mapumziko nakuja tuyajenge.... Aiseee nitashukuru sana.
Naenda na bajeti. Siyo kwamba sina pesa. Sema tu sipendi kujionesha sana kwa watu.[emoji23][emoji23][emoji23] Aisee, 3k ya kuongezea kwenye hiyo 10k inakuwazisha, pesa ya chakula cha binti utakuwa nayo kweli!!? Vipi kuhusu pesa ya manunuzi?
Tutafuteni pesa vijana wenzanguNyumba nzuri ya kisasa inauzwa ipo Mbweni Moga ya tatu (3) kutoka kwenye lami. Ramani ya nyumba hii ni (American architectural). Hii nyumba ya kuamia tu hugusi kitu.... Halafu iko jirani na wakuu tofauti tofauti wa ulinzi na usalama...
Nyumba contained, fully A/c, garden nzuri sana, plot sized: 1,350 sqm ina title deed.
- Bei TZS. 1.3 billion maongezi yapo
Mawasiliano zaidi 0756060183View attachment 2342422View attachment 2342423View attachment 2342424View attachment 2342425View attachment 2342426View attachment 2342427View attachment 2342428View attachment 2342429View attachment 2342430View attachment 2342431View attachment 2342432View attachment 2342433View attachment 2342434
Sina njia nyingine sasa Ndugu yangu hahahahaha[emoji23][emoji23][emoji23] ila we jamaa
Sawa kabisa mkuumimi nimependa ramani na nahitaji fundi aliyeijenga. nampongeza mmiliki wa hiyo nyumba. najua nikiwa na mil.600 naweza jenga kama hiyo.
Kweli kabisa mkuuNyumba kali sana kama mbele
Haha au kitimotoJumba kubwa la kupeleka wapi kwani mimi nimekuwa TEMBO!
[emoji16]Yombo Msukuma[emoji16]Jumba kubwa la kupeleka wapi kwani mimi nimekuwa TEMBO!