dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #41
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.
Work until expensive become cheap.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ardhi ni gharama sasa hivi Kisasa sio eneo keki kwa Dodoma.Imezidiwa/itazidiwa kwa mbali na maeneo mengi tu.Mkuu swala sio kujenga nyumba la hasha,Bali gharama ya kiwanja kwa maeneo hayo ni kubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ardhi ni gharama sasa hivi Kisasa sio eneo keki kwa Dodoma.Imezidiwa/itazidiwa kwa mbali na maeneo mengi tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami mimi nimeshangaa,hiyo ni nyumba au pagala?85 m haipati kwa pagala hilo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni Boma si nyumba. Ungekua unajua gharama za Finishing usinge thubutu kuweka hiyo bei hapo.
Kila la kheri kwa atakayenunua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo bei ni pamoja na huo mnara hapo nyuma au????Ipo Kisesa Ina vyumba 4 master 2, sebule, daining, jiko, stoo, pablic toilet, Ina fensi, uwanja una square mita 900.. Bei Milion 85
Maongezi zaidi +255756060183View attachment 1407036View attachment 1407038View attachment 1407039View attachment 1407040
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hili pagala ukiuza bei kubwa saaaana ni 30-40M, na ukipewa chukua haraka bila kupepesa macho.
Mkuu hili pagala ukiuza bei kubwa saaaana ni 30-40M, na ukipewa chukua haraka bila kupepesa macho.
Banda la milioni 10 unauza milioni 85?au unafanya comedy?
Sent using IPhone X
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.
Work until expensive become cheap.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie mnao mpinga muuzaji ni hamuijui vizur dodoma .. nyumba ipo kisasa na kisasa kwa dodoma ni kama masaki au mbezi beach ya dsm ni maeneo ambayo wanakaa watu wanao jiweza kidogo.. . Kwa kweri Kisasa ni pazuri sana ... Na viwanja kule ni ghali Sana...... Mimi naona kwa bei hyo kisasa muuzaji yupo sahihi. lakini kama anauza kweri angalau angeanzia 70mil .. kwa sababu hali ya uchumi sio nzuri kwa Sasa.
Work until expensive become cheap.
Sent using Jamii Forums mobile app
+uwanja mkuu na upo jijinsasa nyumba haijafanyiwa finishing halafu baei ni million 85
Ata wew valuation yako fekiUmesema kweli hapo mpaka nyumba iliposimama kujenga inacheza kwenye 10-18 ukisimamia manunuzi ya vifaa na mahitaji yote kwa umakini kabisa, ila watu kutokujua masuala ya Valuation kama ulivyosema wanapigwa bei kubwa na Madalali.