dovillenproperty
JF-Expert Member
- Nov 24, 2014
- 3,203
- 2,227
- Thread starter
-
- #1,381
Hizi tukikuuzia unaziondoa na unaweka paving bockHizo tiles hapo mbona zimewekwa shagala bagala?
Alaf kwanini hiyo nyumba inauzwa?
Haina majini au mizimu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu, nichk WhatsApp nikutumie mpaka video ya nyumba nzimaNyumba nzuri la picha za ndani,pembeni na nyuma ya nyumba hakuna...
Aiseeh kuhusu hili sina majibu nalo.ila ukikomaa nalo hili sawa itanibidi niongee na mwenyeweVipi luku wanakata sh. ngapi kila mwezi?
Umeona eeh mkuuBei rahisi sana
Sawa mkuu nimekuelewaWeka picha wanunuzi ndo sisi. Nataka nione mazingira vizuri, hiyo nyumba ya wafanyakazi haionekani. Kamilisha tangazo mkuu
Bei ya kiwanja hiyo mkuu ila bei ina maongezi. KaribuMbona kama bei ya nyumba hiyo?!
Nyumba ya ghorofa inauzwa Kigamboni
Ipo kigamboni kisiwan karibia na shule ya mizimbin ina vyumba vi3 upande wa chini kimoja master
Upande wa juu ina room moja master
Bei Tsh 165M
Maongezi zaidi 0756060183View attachment 1895957View attachment 1895958View attachment 1895959
Lete hela mkuu
Aje aone nyumba mkuu swala last bei linaongelekaUmekubali haraka sana, akishindwa huyo kuna jamaa 120 hapa.
800 SQMPlot size
Bado ipo mkuu na karibu sansBado ipo?