Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Hizo tiles hapo mbona zimewekwa shagala bagala?

Alaf kwanini hiyo nyumba inauzwa?

Haina majini au mizimu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi tukikuuzia unaziondoa na unaweka paving bock
Mwenyewe anaishi hapa sema anauza kwa mahitaji yake binafc mkuu.
Biashara ya kuuza nyumba, viwanja, mashamba, magari nk zipo siku nyingi mkuu na kuuza kitu havina uhusiano wowote na majini
 
Weka picha wanunuzi ndo sisi. Nataka nione mazingira vizuri, hiyo nyumba ya wafanyakazi haionekani. Kamilisha tangazo mkuu
 
Mkuu nyumba ndogo haionekani au ulimaanisha kimada? BTw mimi ni window shopper tu natakasa macho!
 
Weka picha wanunuzi ndo sisi. Nataka nione mazingira vizuri, hiyo nyumba ya wafanyakazi haionekani. Kamilisha tangazo mkuu
Sawa mkuu nimekuelewa
FB_IMG_1629464974853.jpg
FB_IMG_1629464971575.jpg
FB_IMG_1629464967016.jpg
FB_IMG_1629464961472.jpg
FB_IMG_1629464957819.jpg
FB_IMG_1629464868225.jpg
 
PLOT FOR SALE
______

LOCATION AT MABWEPANDE

ASKING PRICE Tsh.18 Million

PLOT SIZE SQM 842

NEAR HOSPITAL/POLICE STATION

FULL DOCUMENTS/TITLE DEED
0756060183
IMG-20210820-WA0011.jpg
 
Back
Top Bottom