Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Ghorofa linauzwa Majengo Sokoni Dodoma

-Jengo lina wapangaji na ofisi mbalimbali na maduka kwa chini.

-Plot size square meter 1200

-Bei 1.5 bilion

Maongezi zaidi 0756060183

IMG-20220203-WA0002.jpg
IMG-20220203-WA0004.jpg
IMG-20220203-WA0005.jpg
IMG-20220203-WA0006.jpg
IMG-20220203-WA0004.jpg


IMG-20220203-WA0003.jpg
 
Yani mtu alaze 1.5bn kwenye matofali? Cash!?????? Na Hali ya sasa biashara ya office hewa!
 
Yani mtu alaze 1.5bn kwenye matofali? Cash!?????? Na Hali ya sasa biashara ya office hewa!
Mkuu hilo jengo linaingiza hela za kutosha kila mwezi kwahyo wanaojua uwekezaji hawawezi kuona haya unayo yaona wewe. Tonatofautiana sana kipato mkuu ila tuishi tu hakuna namna ipo siku Mungu atatusaidia kuyaona yale yasiyo onekana
 
Hahaa umenikumbusha mkuu enzi zile tunasoma habari za sungura akilukia migomba ya ndizi na kushindwa kufikia kwenye mkungu wa ndizi akijisemea sizitaki mbichi zile
Jamaa atakuwa hajawahi kuwekeza kwenye biashara ya Real Estate bila shaka. Halafu anaionea huruma hela ambayo siyo ya kwake eti!! 😁😁
 
Halafu sijui kwanini nahisi mmiliki wa jengo kafulia kutokana na kupenda sana ku-bet!

Au hisia zangu tu huku zikiwa zimeambatana na wivu?
 
Jamaa atakuwa hajawahi kuwekeza kwenye biashara ya Real Estate bila shaka. Halafu anaionea huruma hela ambayo siyo ya kwake eti!! [emoji16][emoji16]
Hahaaa ukuweli ni kwamba kila mtu anabiashara zake anazozijua na ni vzr nyingine tukawachia wenyewe wenye uelewa nazo
 
- Eneo Linauzwa BOKO CCM upande wa juu.

--- Eneo Lipo Mkabala au Pembezoni Mwa barabara ya Lami ya Bagamoyo road/The plot is fronting the Main Bagamoyo road and Neighboring to Princes Bar.

---Kwenye Eneo Kuna Nyumba yenye vyumba 3 na kimoja ni Masterbedroom#Sitting room#Dining room#Kitchen#Sturd room#Store# Modern Sliding Windows.

---- Servant Quarter with 2 Bedrooms and 6 Operational Frames.

--- Eneo Lipo Sehemu nzuri Kwa Ujenzi wa Nyumba Za Kibiashara kama vile Apartments,Hotel,Hostels,Yard,Mini Petrol Station au Makazi.

--- Plot Size: 676 Sqm

--- Eneo Limepimwa na Kurasimishwa na Halmashauri ya Kinondoni na kupewa Control namba na Kwa sasa Lina Nyaraka za Serikali ya Mtaa/Process za kupata hati zilishakamilika.

--- Maji Yapo(Dawasa) na Umeme upo.
An Ideal plot for Commercial and Residential purposes.

Bei ni Tsh 199 Million (Negotiable)

Mawasiliano zaidi 0756060183

IMG-20220204-WA0003.jpg
IMG-20220204-WA0004.jpg
IMG-20220204-WA0002.jpg
IMG-20220204-WA0001.jpg
 
Pesa ipo, naongelea return on that investment..., land is now very cheap, sasa that old building na value? 1bn? Na na!
Ndio mkuu ila kwa mwekezaji angepipitia mikata ya wapangaji na kuona kila mwezi inapatikana sh ngapi na kwa mwaka pia zidisha kwa miaka kumi na hapo utajua je jengo litaleta faida ama laah
 
Ndio mkuu ila kwa mwekezaji angepipitia mikata ya wapangaji na kuona kila mwezi inapatikana sh ngapi na kwa mwaka pia zidisha kwa miaka kumi na hapo utajua je jengo litaleta faida ama laah

Hapo Sawa, nakubali, Kama pana wapangaji na inalipa Ni Sawa, Ila Kwa nini sasa Huyoauze Kama kuna Faida? Au anapitia kipindi kigumu?
 
Hapo Sawa, nakubali, Kama pana wapangaji na inalipa Ni Sawa, Ila Kwa nini sasa Huyoauze Kama kuna Faida? Au anapitia kipindi kigumu?
Biashara za kuuza na kununua zipo tu mkuu tangu kuumbwa kwa Dunia.kwahyo mtu anapoamua kuuza aseti yake basi ujue kuna nguvu nyuma yake inayomsukuma..karibu tukuuzie mkuu umiliki mgorofa huu wenye wapangaji kibao
 
Back
Top Bottom