Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Plot4Sale Tunauza Nyumba, Mashamba na Viwanja sehemu mbalimbali

Kama hukati na unauza lote kwann umetaja bei kwa heka? Kwanini usitaje bei ya shamba lote, ni vile unaona kubwa sana mkuu hata wewe umeogopa kuiandika
Hahaa ngoja ila unaweza kunipa idadi ya heka unazo taka nijaribu kuongea na mwenyewe
 
Hivi Serikali haina utaratibu wa kununua Mali kama hz?
 
Hivi Serikali haina utaratibu wa kununua Mali kama hz?
Wao wanachojua ni kodi tu
Watu wanataka serikali isifanye biashara ninyi mnataka inunue biashara zilizo feli?
Huoni picha zinaonesha shamba limetelekezwa?

Kilimo cha namna hiyo maeneo mengi ya Tanzania bado sana muda wake, unapata hasara tu au unaifurahisha nafsi yako ukiona mifugo na mazao ya shambani.

Nunua kama asset usubirie wawekezaji wakubwa au toka nje upige faida kubwa sana. Lakini liquidity yake siyo ya fast cash unapokuwa na shida ya haraka ya cash.
 
Title Deed ipo.

Shamba la Ukubwa wa (Hekari 630) linauzwa lipo Kabuku TANGA umbali wa KM 7 kutoka Main Road, barabara inapitika gari zote mpaka Malori na lina Mazao kama ifuatavyo;
1. Miembe ya kisasa heka 200,
2. Michungwa heka 15,
3. Miti ya Mitiki heka 10,
4. Nyumba ya kuishi yenye vyumba vitatu, store, jiko na sitting room,
5. Nyumba ya Kuishi wa fanya Kazi,
6. Mabanda ya kufuga ng,ombe,
7. Machine ya ku process majani ya ng'ombe,
8. Josho la ng'ombe,
9. Machine ya kuspray dawa kwenye miti ya maembe,
10. Mabanda ya kufuga kuku,
11. Mizinga ya nyuki,
12. Kuna magodown ya kitunzia mazao,
13. Matank ya maji ya Dawasco,
14.Tank la Lita 200,000 special kuvuna maji ya Mvua,
15. Maji ya bomba,
16. Matrekta matatu (3),
17. Visima vya maji shamba,
18. Umeme wa Tanesco,
19. Mtambo wa Biogas unatumia kinyesi cha Ng'ombe kwa ajili ya kupikia,
20. Machine ya kusokota Chakula cha ng'ombe,
21. Machine ya kusaga Chakula cha ng'ombe,
22. Machine kusambaza mbolea shambani.
Lina Hati na limelipiwa kodi zote za serikali mpaka mwaka wa 2020.pamoja na vitu vyote vilivyopo ndani ya shamba bado bei yake ya kuuzia kwa heka moja ni Tsh 2m

Maongezi zaidi 0756060183

View attachment 2162777View attachment 2162778View attachment 2162779View attachment 2162780View attachment 2162781View attachment 2162782View attachment 2162783View attachment 2162784View attachment 2162785
pamoja na vitu vyote vilivyopo ndani ya shamba bado bei yake ya kuuzia kwa heka moja ni Tsh 2m. Fafanua. Tractor ipo kwa hii bei ya per hectare?
 
Njia nyingine ya kuliuza kwa urahisi, kopea fedha bank, ukishindwa watalipiga mnada
 
NYUMBA NZURI YA KISASA INAUZWA DODOMA

Ipo kisasa sheli.. ina vyumba vya kulala 4, vyote selfu.. sebule, dianing, jiko na stoo... bado.. tiles na milango ya ndani.. ina maji. bei Tsh 120m.

Maongezi zaidi 0756060183

IMG-20220324-WA0041.jpg
IMG-20220324-WA0039.jpg
IMG-20220324-WA0036.jpg
IMG-20220324-WA0032.jpg
IMG-20220324-WA0030.jpg
IMG-20220324-WA0032.jpg
 
Back
Top Bottom