sihitaji BOQ kwa sababu nitauza bei ya kihalisiaJenga yako ya mil 500 afu iweke sokoni na hio BOQ ya ujenzi boss
wewe ndio udhihirishe hiyo bilioni 1.3 umeifikia vipi au mi dalali unatunga namba from blue sky
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sihitaji BOQ kwa sababu nitauza bei ya kihalisiaJenga yako ya mil 500 afu iweke sokoni na hio BOQ ya ujenzi boss
Na hii pia ni nyumba tunauza mkuu sio bandaAcha kabisa, ila nitajenga kama hii with the same architecture kwa million 600.
Kuna wanaoishi kwenye nyumba alafu kuna wanaoishi kwenye mabanda.
poverty mentalityNingenunua ila tatizo makafara yaliyofanywa umo sio mchezo[emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
Iko vizr mkuu karibu uione inaweza kukufaa na pia eneo lake ni kubw unaweza kujenga nyingine zaididovillenproperty hiyo inayouzwa milioni 35 ni kweli ina hadhi hiyo??
Sisi wa mikoani tunabaki kushangaa!
nimekubali kwenye column na beam hapo, no mbwembwe, safi sanaNa hii pia ni nyumba tunauza mkuu sio banda
NYUMBA INAUZWA BUNJU MINGOI
NYUMBA INA VYUMBA V3 SEBULE JIKO CHUMBA KIMOJA MASTER BEDROOM IPO MINGOI NJIA YAKWENDA KIHALAKA MITA 800 UMEFKA UWANJA SGMIT 1600 PAMEPIMWA
BEI TSH 35M
MAONGEZI ZAIDI 0756060183View attachment 2344833View attachment 2344834View attachment 2344835View attachment 2344836
Sasa ningelionaje hili tangazo pasipo kunitag, Ngoja nimuulize Zuchu kama itatufaa[emoji41][emoji41]Aiseh hebu nipe connection yake tumuweke hapa
[emoji23][emoji23][emoji23] halafu unakuta unachoma chapati, ila jf bhana
Ni wewe atoto?Aaaah mimi sijengi njiani, nina makazi ya kudumu ya dhahabu mbinguni🤣🤣🤣🤣
(Ngoja nijifariji tu maana hamna namna)
Ha ha ha[emoji23][emoji23][emoji23] halafu unakuta unachoma chapati, ila jf bhana
Ndio ndio.Ni wewe atoto?
Si bora hata ningekua nachoma chapati. Haya maisha wewe acha tu[emoji23][emoji23][emoji23] halafu unakuta unachoma chapati, ila jf bhana