House4Sale Tunauza nyumba na viwanja

Bajaji inashuka thamani na kuna risk ya ajali.Nyumba hadi vitukuu wataifaidi.Kupanga ni kuchagua!
Jinsi ilivyoliwa na chumvi kizazi gani kitafaidika? Labda ujenge nyingine imara ikae miezi 6 nayo iliwe
 
mwenye nyumba ana shida zake

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Amechoka kuvuta harufu pendwa ya eneo hilo??
 
Spenco noma sana ile harufu haifai watu wanalazimisha sana maisha ivi kwanini mtu uishi spenco? Bora nikaishi Kisarawe hata kama ni mbali na mjini ila hewa safi
 
Spenco noma sana ile harufu haifai watu wanalazimisha sana maisha ivi kwanini mtu uishi spenco? Bora nikaishi Kisarawe hata kama ni mbali na mjini ila hewa safi
Spenco au Kijiwe Nongwa,watu kibao kule hawana noma!Nadhani uzisikia story za Kijiwe Nongwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…