SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.

srinavas

JF-Expert Member
Joined
Jun 5, 2011
Posts
4,195
Reaction score
4,013
Habari zenu wakuu

Poleni na majukumu.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.

Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja. Pia unaweza kuchukua mzigo kwa staili ya kuwekesha , yaani unakuja dukani then unachagua kitu halafu unalipia kidogo kidogo mpaka pale utakapomaliza kwa mkataba maalum wa muda maalum

Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika

TCL TV's Smart

TCL Smart 32" - 520,000
TCL Smart 39" - 750,000
TCL Smart 43" - 850,000
TCL Smart 49" - 1,250,000
TCL Smart 55" - 1,500,000 4k
TCL Smart 55" Curve - 1,850,000
TCL Smart 65" 2,900,000 4K
TCL Smart 65" 3,100,000 4K



Samsung TV's

32" - 530,000
40" - 870,000
43" Smart TV - 1,350,000
49" Smart TV - 1,670,000
55" Smart TV - 2,490,000 4K
55" Smart TV Curve - 2,800,000 4K
65" 4K - 4,650,000



LG TV's

24" - 360,000
32" - 530,000
43" - 870,000
49" - 1,360,000
55" - 2,090,000
65" - 3,690,000 4K

Note: LG 40" hakuna

Star - X. TV's

24" - 290,000
32" - 410,000
43" - 730,000
49" - 1,030,000


SONY TV's

32" - 620,000
40" - 1,000,000

Mo Electronics

43" - 780,000
55" - 1,320,000



Vitron TV's

17" - 190,000
22" - 220,000
24" - 290,000
32" - 430,000



Karibuni sana sana sana

Number ya simu ni 0717016789

d55ce0aec4e5c6e261490088641f0ce9.jpg
a93be454a91929c9c1b7f8083626abb9.jpg
b66e541a69923dd1f5e27706dc0cbf10.jpg
e0883dc63ddcb702764749efb47d0fd3.jpg
7fcfd87da6f93d4e03f6e0c0dc19bfdc.jpg
740f457af6597811401bc30b810e341d.jpg
0f6a8b033eddd5e69070c4c40203d622.jpg
9a8306f3c785f0ad4dd5c39810c6b465.jpg
5c329c071d1dd34fa0633b89e06392ff.jpg
58828fddce5ecfcbb2204dd9254440e0.jpg
7973be353d8654fa0a9db5952b1f1afb.jpg
cc2da101faba90e9043075f01800dfc8.jpg
9e62a76ba94f695022fc89b95c929fa6.jpg
d83c1cf23c8aaece7bae617cd55aa2d2.jpg
8c572e420783869be967de2f4378f4e9.jpg
13027b81e89b3cc9d090208b11c024f9.jpg
fa059149d336d67fe5ce02c5cfcc9767.jpg
47bdbf29dc39ea1f46f0ddde267cffd1.jpg
842aee607514d59dab1d1ab0f326d99c.jpg
91ccec0b5cb16ed3a42e1a82904f4513.jpg


Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789
 
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
 
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
Mkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.

Twende kazi
 
Mkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.

Twende kazi
Sasa inabadilika haaka hivyo kwani imekuwa foreign exchange ? au labda bei zenu ni kwa dola za kimarekeni ambazo hubadilika kila sekunde? pamoja na hivyo bidhaa ulizoziweka ni nzuri na nyingine ni kampuni mpya tunataka kujua angalau range ya bei kwani kwenye soko bagain ni kitu cha kawaida, kwani bei zilizobandikwa madukani ndio lazima auziwe mteja hiyohiyo? tunaita (invitation to treaty) mtu akishavutiwa ndio anaomba kupunguziwa
 
Sasa inabadilika haaka hivyo kwani imekuwa foreign exchange ? au labda bei zenu ni kwa dola za kimarekeni ambazo hubadilika kila sekunde? pamoja na hivyo bidhaa ulizoziweka ni nzuri na nyingine ni kampuni mpya tunataka kujua angalau range ya bei kwani kwenye soko bagain ni kitu cha kawaida, kwani bei zilizobandikwa madukani ndio lazima auziwe mteja hiyohiyo? tunaita (invitation to treaty) mtu akishavutiwa ndio anaomba kupunguziwa
Okey poa mkuu nimekuelewa vizuri kabisa.

Basi naomba nianze kuweka products na bei upya. Unajua hapa natumia simu sasa inaniwia vigumu kidogo. Ila nitaifanyia kazi ushauri wako mkuu.

Ni kitu gani hapo lakini ambacho au ambavyo ungependelea kujua bei zaidi??
 
Sasa inabadilika haaka hivyo kwani imekuwa foreign exchange ? au labda bei zenu ni kwa dola za kimarekeni ambazo hubadilika kila sekunde? pamoja na hivyo bidhaa ulizoziweka ni nzuri na nyingine ni kampuni mpya tunataka kujua angalau range ya bei kwani kwenye soko bagain ni kitu cha kawaida, kwani bei zilizobandikwa madukani ndio lazima auziwe mteja hiyohiyo? tunaita (invitation to treaty) mtu akishavutiwa ndio anaomba kupunguziwa
Hata mimi sijaelewa kwanini anasema bei zinabadilika kila siku, au kila siku anaingiza mzigo mpya?
Kama sivyo basi kuna shida mahali.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom