SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
9efa16942ee67696862aca9a277a0a08.jpg
Nikihitaji nitapataje niko huku mkoani.
 
Memory card 16GB bei gani?..hizo nyingine me bado mtoto.
 
Wewe Nimekwambia nioneshe ya 65000 elfu sabufaaaa then me Nipo ikwiriri naipataje naitaka hiyo
 
Mkuu hiyo HotPoint milango miwili unauzaje, na Tcl Smart TV ni bei gani... Na hii tcl naweza iunganisha kupitia Simu yangu ikawa streaming na kwenye Simu yangu naziona kwa screen ya TV!? Nipe bei na somo kidogo on what and how tcl smart
Hii vipi mbona hutolei maelezo?
 
Naulizia tcl smart TV ndogo size ya mwanzo,,na hiyo sbwoof ya bei ya chini 65 na85 weka picha na bei Niko njombe nakuja jtatu
Mkuu ukifika dar njoo dukani. Nipigie simu uje uchague mwenyewe tu hamna shida.
 
Mkuu hiyo HotPoint milango miwili unauzaje, na Tcl Smart TV ni bei gani... Na hii tcl naweza iunganisha kupitia Simu yangu ikawa streaming na kwenye Simu yangu naziona kwa screen ya TV!? Nipe bei na somo kidogo on what and how tcl smart
Mkuu hotpoint ni 750,000 , TCL Smart bei 32" ni 500,000.

Smart tv kama jina lake linavyojielezea unaweza kufanya nayo mambo mengi ikiwemo hilo unaloongelea na kuitumia tu pia kama smartphone, ukaingia youtube, facebook, na kadhalika

0717016789
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom