SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Ni aina gani ya majiko ya gesi mlio nayo na ni bei gani?
Mkuu majiko ya gesi kuna haya ya kawaida yaani gas stove , na pia kuna haya majiko ya gesi yenye oven. Wewe unapendelea yapi?



0d92a82d5c831b5fbc9f6e015788a8d7.jpg
7c9e748294e419a352dc343b3db6164c.jpg
 
Mkuu feni nzuri za bei rahisi ni zipi na sh.ngapi?
Bei rahisi kama shilingi ngapi mkuu? Feni nzuri bei zake ni 95k 85k na zaidi ya hapo. Ukitaka feni za 30,000 utauziwa mafeni ambayo unawasha baada miezi miwili inaanza kukusumbua. Mimi ninazo hizo za 95 , karibu sana mkuu
ed0a48211abc3bb5a148b799b907e5d0.jpg
f9b5289ef6bf14c6edbd637cbd5df5b0.jpg
6538aeba02bc3510ecdfdfa9b632792f.jpg
 
Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
mbona kakuandikia bei za tv palee, acha wivu na maisha ya wenzako, # pambana na hali yako,
 
Mkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.

Twende kazi
hana hela wala nia huyo anakupotezea mda mkuu, mwenye nia na hela hawez uliza utumbo huo
 
Hii ya kuwekesha inakuaje?
Kuwekesha ni Kwamba unakuja dukani halafu unachagua kitu ambacho unataka halafu unalipia kidogo kidogo ukimaliza unachukua.. hii ni lazima mtu uje dukani ili tufanye agreement au labda kama ww ni mteja wa mbali ambaye tumeshawahi kufanya biashara.

Kuna wadau kama wawili hvi wa JF walikuja tukafanya hii biashara (ya kuwekesha) wiki mbili zilizopita, naawaomba waje watoe mrejesho Tafadhali
 
1.Kwanza subwoofer speaker OG ya hio theatre lazma iwe ina hiko kitovu katikati kama unavyoona kwenye hio picha hapo. Ukikuta hakipo lazma itakuwa copy yake ila matoleo yote ya mwanzo yana kitovu.
View attachment 701677


2.Matoleo yote original ya sony OG hasa ya mwanzoni toka japan, malaysia lazma iwe na stickers za product features juu ya deki. Kama dvd,divx,bluetooth ready n.k ila kwa hizi tunazonunua ziko dated kiasi kwamba huwezi kuta zenye stickers.
Mfano kama hivi:
View attachment 701696

3. Tatu upigaji wake ni mzuri sana kama unajua mziki mzuri ukoje ukiskiliza tu nyimbo on test hapo dukani utapata ile quality ya sony pamoja na mshindo wa maana.
Asante sana mkuu kwa Elimu nzuri. Njoo uchukue bidhaa kwa discount ya staff
 
Mm ktk kuwekesha ndo pazur ila 2 npo Dodoma bt nachukua namba yako mkuu.
Karibu sana mkuu, nipigie tu tutaongea vizuri na nitakupa maelekezo. Ila hauna mtu yoyote aliyeko hapa dar??
 
mbona kakuandikia bei za tv palee, acha wivu na maisha ya wenzako, # pambana na hali yako,
Hii bosi wewe ndio unauona huu uzi leo na kudandia gari kwa mbele.Alivyoandika huu uzi kwa mara ya kwanza hakuweka bei na sisi tulimshauri na akakubaliana na kuweka. Tangu ameweka bei kumbe anauza vifaa bora kabisa na kwa bei nafuu sasa wateja wanamiminika ofsini kwake kununua. a ushauri waNa ni majuzi tuu nimepokea pm yake akinishukuru kwa ushauri wangu kwani imebidi aagize mzigo mwingine kabla ta muda
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom