Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei rahisi kama shilingi ngapi mkuu? Feni nzuri bei zake ni 95k 85k na zaidi ya hapo. Ukitaka feni za 30,000 utauziwa mafeni ambayo unawasha baada miezi miwili inaanza kukusumbua. Mimi ninazo hizo za 95 , karibu sana mkuuMkuu feni nzuri za bei rahisi ni zipi na sh.ngapi?
Hilo la kawaida ni bei gani?Mkuu majiko ya gesi kuna haya ya kawaida yaani gas stove , na pia kuna haya majiko ya gesi yenye oven. Wewe unapendelea yapi?
![]()
![]()
mbona kakuandikia bei za tv palee, acha wivu na maisha ya wenzako, # pambana na hali yako,Wenzako wanaofanya matangazo kama haya wanaweka na bei kabisa maana wanajiamini ubora wa bidhaa zao pamoja na convising price. Kitendo cha kuweka namba za simu ili tukuulize hakina afya kabisa kinaondoa kutokujiamini kwako na bidhaa unazotangaza halafuuu!!! unatuwekea instagramu kwani sisi ni Mangekimambi?
hana hela wala nia huyo anakupotezea mda mkuu, mwenye nia na hela hawez uliza utumbo huoMkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.
Twende kazi
fanya kazi wee ni agent wa nani ?Sawa agent wa mchina tanzania
Kuwekesha ni Kwamba unakuja dukani halafu unachagua kitu ambacho unataka halafu unalipia kidogo kidogo ukimaliza unachukua.. hii ni lazima mtu uje dukani ili tufanye agreement au labda kama ww ni mteja wa mbali ambaye tumeshawahi kufanya biashara.Hii ya kuwekesha inakuaje?
kama hufanyi biashara huwezi kuelewa...............Hata mimi sijaelewa kwanini anasema bei zinabadilika kila siku, au kila siku anaingiza mzigo mpya?
Kama sivyo basi kuna shida mahali.
wacha utoto...........kama bado uko kwa shemeji hii bando unayotumia kuandika upuuzi utumie kujifunza kupika hata maandazi kwa manufaa yako ya badaePRIDE MICROFINANCE au ? Isije kuwa mmetook kwa wateja ???
Asante sana mkuu kwa Elimu nzuri. Njoo uchukue bidhaa kwa discount ya staff1.Kwanza subwoofer speaker OG ya hio theatre lazma iwe ina hiko kitovu katikati kama unavyoona kwenye hio picha hapo. Ukikuta hakipo lazma itakuwa copy yake ila matoleo yote ya mwanzo yana kitovu.
View attachment 701677
2.Matoleo yote original ya sony OG hasa ya mwanzoni toka japan, malaysia lazma iwe na stickers za product features juu ya deki. Kama dvd,divx,bluetooth ready n.k ila kwa hizi tunazonunua ziko dated kiasi kwamba huwezi kuta zenye stickers.
Mfano kama hivi:
View attachment 701696
3. Tatu upigaji wake ni mzuri sana kama unajua mziki mzuri ukoje ukiskiliza tu nyimbo on test hapo dukani utapata ile quality ya sony pamoja na mshindo wa maana.
Mkuu njoo tu dukani, utapata mziki mzuri zaidi kila siku inaingia miziki mipya ya maana , hii ni ya muda kidogoNakujia muda si mrefu. Plan yangu ya mwezi huu ni kununua mziki
Vipi aina hii unazo na ni bei gan?View attachment 701695
Hii bosi wewe ndio unauona huu uzi leo na kudandia gari kwa mbele.Alivyoandika huu uzi kwa mara ya kwanza hakuweka bei na sisi tulimshauri na akakubaliana na kuweka. Tangu ameweka bei kumbe anauza vifaa bora kabisa na kwa bei nafuu sasa wateja wanamiminika ofsini kwake kununua. a ushauri waNa ni majuzi tuu nimepokea pm yake akinishukuru kwa ushauri wangu kwani imebidi aagize mzigo mwingine kabla ta mudambona kakuandikia bei za tv palee, acha wivu na maisha ya wenzako, # pambana na hali yako,