SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

SOLD: Tunauza TV, Fridge , Home theatre, Sabwoofer, na vingine kama hivyo kwa BEI POA

Status
Not open for further replies.
Usikasirike kama hajakujibu, am sure atakua hajaiona meseji,
Meseji zinatiririka nyingi sana za kuuliza vitu tofauti, kuwa na subira, akiiona atajibu tu,

Mleta thread ana nia nzuri ya kufanya biashara, Big up, ila ni vema pia ushauri mzuri anaopewa akauchkua tu na kuufanyia kazi,
Biashara matangazo, na unatakiwa kujiongeza pia, mfano umeona kuna mtu kakushauri kuhusu kuweka pic na bei yake, huu ni ushauri mzuri, hupotezi chochote kwa kubandika bei Chini yake, hii itakusaidia kupunguza maswali yasiyo ya lazima.
Af usilazimishe watu wakupigie, wee ukipata chance ingia jf fatilia meseji, jibu kwa ufasaha, mfano mtu akiuliza TV aina flani bandika pic yake na nyinginezo +bei zake na other alternative, na huduma ya kufikishiwa alipo!!! HUPOTEZI KITU KUPOST TU HUMU! it's your business, and it's you utaevutia watu

Ushauri tu
Asante sana mkuu kwa ushauri na nitaufanyia kazi. Na asante sana kwa kunisaidia kuwaelimisha watu hapa.. pia nawashauri kwa watu wa dar ambao wanaweza kuja dukani ni bora wakaja inakuwa rahisi zaidi na kuchagua vitu vingine na kujibiwa maswali mengine.
 
Naomba bei ya hizo ulizotaja mkuu
Home theatre bei gani??
DAV-DZ 140. - 355,000/-
a665da738f7d49fde606a3b1bbb1410f.jpg




DAV-DZ 350 Price - 565,000
1a787adeb3f76212591a172782fe710d.jpg


DAV-DZ 650 Price 680,000
dd84828b7316003713c10fb4ca3960de.jpg
75f0e2a78a199f3922e1b3618b3840f1.jpg


DAV DZ 950 price 885,000
3b627d04a7ffc443beff95fb59da7fc1.jpg
3494e9ffee8da60561f3c734b740c232.jpg




Bei ndio kama hvyo. Karibu sana mkuu.
 
Habari zenu wakuu

Poleni na majukumu.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.

Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja. Pia unaweza kuchukua mzigo kwa staili ya kuwekesha , yaani unakuja dukani then unachagua kitu halafu unalipia kidogo kidogo mpaka pale utakapomaliza kwa mkataba maalum wa muda maalum

Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika

Karibuni sana sana sana

Number ya simu ni 0717016789

d55ce0aec4e5c6e261490088641f0ce9.jpg
a93be454a91929c9c1b7f8083626abb9.jpg
b66e541a69923dd1f5e27706dc0cbf10.jpg
e0883dc63ddcb702764749efb47d0fd3.jpg
7fcfd87da6f93d4e03f6e0c0dc19bfdc.jpg
740f457af6597811401bc30b810e341d.jpg
0f6a8b033eddd5e69070c4c40203d622.jpg
9a8306f3c785f0ad4dd5c39810c6b465.jpg
5c329c071d1dd34fa0633b89e06392ff.jpg
58828fddce5ecfcbb2204dd9254440e0.jpg
7973be353d8654fa0a9db5952b1f1afb.jpg
cc2da101faba90e9043075f01800dfc8.jpg
9e62a76ba94f695022fc89b95c929fa6.jpg
d83c1cf23c8aaece7bae617cd55aa2d2.jpg
8c572e420783869be967de2f4378f4e9.jpg
13027b81e89b3cc9d090208b11c024f9.jpg
fa059149d336d67fe5ce02c5cfcc9767.jpg
47bdbf29dc39ea1f46f0ddde267cffd1.jpg
842aee607514d59dab1d1ab0f326d99c.jpg
91ccec0b5cb16ed3a42e1a82904f4513.jpg


Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789
Hii TV ni nch ngapi na ni bei gani
 
Mkuu bei zinabadilika kika siku. Hapa kesho bei zine change. Mtu akipenda kitu au akiwa anataka kitu ananiuliza tu namwambia bei hadharani hapahapa kwenye Uzi. Kitendo cha wewe kuja kuni attack hapa kuwa sijiamini na bei zangu ni kukosa ustaarabu na adhabu yako nitakuuzia chochote kwa BEI RAHISI sana. Sasa chagua chochote halafu uniambie kwingine bei gani halafu na mm nikupe bei.

Twende kazi
AISE HAPA HUDUMA KWA WATEJA IKO SAWA PENDA HILO JIBU
 
muhimu wa vitu hivi vimetengenezwa wapi kama made in japan nzuri na malaysia na indonesia na korea na thailand zitakuwa nzuri lakini ikiwa south africa china siihitaji
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom