Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, sisi ni kampni inayoitwa PRIDE ELECTRONICS , Tupo kariakoo Dar es salaam na mipango ya kuenea mikoani ipo.
Tunauza bidhaa zote za electronics kwa jumla na rejareja. Pia unaweza kuchukua mzigo kwa staili ya kuwekesha , yaani unakuja dukani then unachagua kitu halafu unalipia kidogo kidogo mpaka pale utakapomaliza kwa mkataba maalum wa muda maalum
Brand zote zipo MO-ELECTRO, SONY,STAR-X, LG, SAMSUNG, VONHOTPOINT, HISENSE, BOSS, TCL,PANASONIC,SHARP na kadhalika na kadhalika
Karibuni sana sana sana
Number ya simu ni 0717016789
Hizo ni baadhi tu ya products za dukani kwetu. Unaweza kueleza hitaji lako na tukakupatia bei
0717016789