Ebu nipe expire ya tyre
 
Hata kama sio zangu lakini hii ni dharau
Mkuu, nilishawahi uza rim 4 za Range Rover kwa laki. Zilikuja na gari ya jamaa mmoja nilimsaidia kuagiza ikaja na rim zile original zikiwa kwenye Boot.
 
Buku 15 anakuuzia nani Daslam hii?
Aaha, sasa unataka yeye auze bei sawa na mfanya niashara anayekodi frem na kulipa kodi na mishahara. Yeye si anauzia nyumbani? Ukienda dukani ukauziwa kwa elfu 40 ujue huyo mfanya biashara ameshaongeza gharama kibao juu ya hiyo bei anayokuuzia but so far yeye atakuwa amelichukua kwa bei chee.
 
Sasa mshkaji anatuambia mark x pia inatumia 20, wakati inatumia 18. Anaijua kweli mark x uyu?

Mkuu rim saiz 20 kwenye mark x unafunga bila wasiwasi wowote! Rim kubwa kabisa inayoingia kwenye Mark x ni size 22. Sema ishu itakuja kwenye size ya tairi. Itabidi ufunge very low profile /20 labda ambayo sasa hapo inabidi gari uendeshe kibarazani kwako tu kwenye sakafu 😂😂
 
Mashine yakusoma matatizo ya gari kwaurahisi nakujua tatizo liko wapi hii hapa imebaki moja.Toa dau lako uwe nifundi au uliewekeza gereji itakusaidia sana. ni MAXCHECK808 diagnosis.Nipgie,tuma meseji au Whatsup +255742662669



 
Nauza spare parts za aina zote;kama Rummio,Harrier,Crown,Mark X,IST,Subaru nannakuagizia Japan kwamda mfupi kama spare iko sokoni bado
nitafute kusupport biashara yangu.
+255742662669
Duka lipo M/Nyamala Komakoma karibu na CRDB bank

Ahsanteni.



 
Wadau naomba support zenu mzigo wangu wa Spare parts za Magari Madogo kutoka Dubai-Sharjah umeingia.Nina shockups,compressor,ABS,Autonator,Hubs,aair cleaners,plastic horns,2AZ coil plugs,Meter Reader,Show zambele,sterling Rack,na vingine vingi.

Biashara yangu nimpya.Kwasupport yako tembelea Duka lipo Mwananyamala Komakoma karibu na CRDB au piga/Whatsup +255742662669

MIKOANI TUNAKUTUMIA KWAUAMINIFU.

 
Namhitaji power steering ya Toyota Hilux 5L engine ya mwaka 1998 no itapatikana kwa shs. Ngapi mkuu
 
Una radio za mtumba za magari.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…