Hellenea Enterprises
Member
- Jun 8, 2017
- 46
- 17
- Thread starter
-
- #41
Kama Carton 1 yenye Ream Paper 5 ni 36,500 je single ream inauzwa bei gani?Ni carton moja yenye Ream paper 5.
Karibu sana dukani kwetu...!!
Tsh 8,500/=Kama Carton 1 yenye Ream Paper 5 ni 36,500 je single ream inauzwa bei gani?
0711-972-446Wekeni namba za simu plz!!
+255711 972 446 AsnteKama unahitaji supplier wa vifaa vya stationery toka Uarabuni nicheki
aya asante nitakucheki+255711 972 446 Asnte
Chukua kamusi hapo tafuta tofauti kati ya "stationary" na "stationery" na usome hayo maneno ujue maana na tofauti yake
Jamaa ashakula hasara kwenye bango lake
Pata karatasi Mondi no 1 kwa shilingi 36,500/=
Bahasha za Manila A4 1000pc@ 66,000/=
Daftari pia zipo.
Vitu vyote vipo kwa bei nzuri sana
Namba zetu ni 0711972446
Karibuni sana
TUNAPATIKANA TEGETA SKANSIKA KWENYE KITUO CHA MAFUTA CHA OILCOM Bagamoyo road
NJIA PANDA YA KUELEKEA KWENYE MITAMBO YA IPTL
kwanini tena simba songea..?Jamaa ashakula hasara kwenye bango lake
Madaftari na kalamu mnauzaje kwa bei ya jumla ?kwanini tena simba songea..?