Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka uko hewani huna aridhi hapo, option nzuri in industrised nations but sio in informal economy kama yetu hi414, 000, 000/-
Kibongobongo kuchochea milioni 400 kwenye property ambayo huna umiliki wa ardhi naona kama bado. Mara leo anajitokeza mwanasiasa anasema tunataka kupitisha bomba la mafuta hapo.. Halafu mkiuliza fidia mnaambiwa mpo kwenye road reserveKumbuka uko hewani huna aridhi hapo, option nzuri in industrised nations but sio in informal economy kama yetu hi
Sie wa watznis tuna penda kupanda miti miwili au migomba kwenye compound yako hapo hewani utapanda wapi, tena kumbuko umelipia 400m, huwezi hata kuchimba shimo la kuwekea takataka.Kibongobongo kuchochea milioni 400 kwenye property ambayo huna umiliki wa ardhi naona kama bado. Mara leo anajitokeza mwanasiasa anasema tunataka kupitisha bomba la mafuta hapo.. Halafu mkiuliza fidia mnaambiwa mpo kwenye road reserve
Wewe kalime, huku wanakaa watu wenye viwandaSie wa watznis tuna penda kupanda miti miwili au migomba kwenye compound yako hapo hewani utapanda wapi, tena kumbuko umelipia 400m, huwezi hata kuchimba shimo la kuwekea takataka.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbuka uko hewani huna aridhi hapo, option nzuri in industrised nations but sio in informal economy kama yetu hi
[emoji38][emoji38]Sie wa watznis tuna penda kupanda miti miwili au migomba kwenye compound yako hapo hewani utapanda wapi, tena kumbuko umelipia 400m, huwezi hata kuchimba shimo la kuwekea takataka.
[emoji38]Wewe kalime, huku wanakaa watu wenye viwanda
Material hayapimwi kwa macho namna hiyo.Hapo cha muhimu ni eneo lkn nyumba hiyo ya kawaida sana sema interior design inavutia lkn materials zilizotumika hapo ni za low quality ukute. So my take is ata 100m apo inatosha.
Material hayapimwi kwa macho namna hiyo.
Hiyo milioni 100 ukisimamia mwenyewe utajenga ya kwako