castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Ukiwa na nusu ya hiyo fedha Dubai unaitwa mwekezajidaaa bei ya nyumba dubai,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na nusu ya hiyo fedha Dubai unaitwa mwekezajidaaa bei ya nyumba dubai,
Dolari inatumika kama standard tu.
Ruksa kuja na maburungutu ya Shilingi ilimradi yawe yametokana na rate ya wakati huo dhidi ya dolari
Wewe huna lolote ni mhatibifu tu.Bongo neno 'apartment' tunalitumia vibaya sana...
Anyway kila la kheri na biashara yako, bila shaka hizi nyumba zipo karibu na Makondeni, kuna picha moja kule bondeni inaonekana ile lami ya kutoka kwa Yusufu kwenda Malambamawili...
Wewe huna lolote ni mhatibifu tu.
Hiyo nyumba inaonekekana hapo ipo kwenye kilima, wewe unasema iko mabondeni?!!
Tuambie maana ya apartment.
Kwa akili yako ndogo unafikiri apartment zinapatikana kwenye magorofa
Wewe huna lolote ni mhatibifu tu.
Hiyo nyumba inaonekekana hapo ipo kwenye kilima, wewe unasema iko mabondeni?!!
Tuambie maana ya apartment.
Kwa akili yako ndogo unafikiri apartment zinapatikana kwenye magorofa
Maneno makali[emoji3064]
Kapaniki huyo, hela hakuna hadi anakosea kusoma Kiswahili chepesi kabisa...
aisee kweli...ila anavyopanik hivyo na kutoa maneno makali sio nzuri kwa business
Ulitaka cha juuuuuu?Imeshuka bei. Shilingi Milioni 25