Mbuyeku hili jina nililisikia kitambo sana, alikuwa anajihusisha na ishu gani huyu?Kwa marehemu mbuyeku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbuyeku hili jina nililisikia kitambo sana, alikuwa anajihusisha na ishu gani huyu?Kwa marehemu mbuyeku
Hardware store and building materialsMbuyeku hili jina nililisikia kitambo sana, alikuwa anajihusisha na ishu gani huyu?
Kila la kheriKwa mimi nnaependa kuishi kwenye nyumba iliyozungukwa na bustani na miti mingi hapo hapanifai.
Haifiki 2.7B ni kama 270MBilion 2.7???
Hapana aiseee bora nikapange uswazi huko
Dolari inatumika kama standard tu.Watanzania na dollar wapi na wapi? Huko marekani wanacharge kwa shilingi?
#GBP #puma #totalenergies #mountmerugroup #lakegroup #olyxy #victoria #BigBon.• Mahali: Luguruni
• Matumizi: Petrol Station
• Ukubwa: 8,000 Sqm
• Nyaraka: Hati
• Bei: TZS 450,000,000
.
Call/Watsap: +255767157788
.
• kiwanja kimetazama barabara ya Morogoro
• kipo jirani na sehemu maarufu kama Kibamba Hospitali
• kiwanja kina kibali cha ujenzi wa kituo cha mafuta japo unaweza kuomba kubadili matumizi
• maji na umeme vipo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania
View attachment 1956406View attachment 1956407