Plot4Sale Tunauza viwanja, Mashamba, Nyumba katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam

Plot4Sale Tunauza viwanja, Mashamba, Nyumba katika maeneo mbalimbali Dar es Salaam

Hivi ndivyo watu walivyo. Ukiwafuatisha huwezi songa mbele.
Nilileta nyumba za bei kubwa japo ni nzuri wakalalamika.
Sasa nimeweka ya bei ndogo bado wanaona wanauziwa mbuzi kwenye gunia
FB_IMG_1632509840346.jpg
 
• Mahali: Mwisho wa lami
• Hali ya nyumba: Ya kuhamia
• Bei: TZS 15,000,000
• Ukubwa wa kiwanja: 400 sqm
• Nyaraka: Barua serikali ya mtaa
.
Call/Watsap: +255767157788
.
vyumba vitatu vya kulala • sebule • jiko • stoo • washroom ya jumuiya • haina uzio • gari inafika • umeme luku
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania
View attachment 1950898View attachment 1950899View attachment 1950900
Picha za muonekano kwa ndani?

Picha za hilo bonde
lioneshe vzr
 
• Mahali: Luguruni, mita 150 kutoka barabara ya Morogoro
• Ukubwa: 5000 sqm
• Bei: TZS 180,000,000
.
Call/Watsap: +255767157788
.
upande wa kushoto kama unatoka Mbezi Louis • panafaa kwa yard ya mabasi, malori au mitambo. pia panafaa kwa ujenzi wa kanisa, nyumba za kupangisha au hostel za wanafunzi • panafikika majira yote kwa gari kubwa au dogo • umeme na maji vipo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania
IMG_20210926_122948_901.jpg
IMG_20210926_122948_927.jpg
IMG_20210926_122948_936.jpg
 
• Mahali: Luguruni, mita 150 kutoka barabara ya Morogoro
• Ukubwa: 5000 sqm
• Bei: TZS 180,000,000
.
Call/Watsap: +255767157788
.
upande wa kushoto kama unatoka Mbezi Louis • panafaa kwa yard ya mabasi, malori au mitambo. pia panafaa kwa ujenzi wa kanisa, nyumba za kupangisha au hostel za wanafunzi • panafikika majira yote kwa gari kubwa au dogo • umeme na maji vipo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania
View attachment 1953607View attachment 1953608View attachment 1953609
Ila hi nchi yetu ni taamu hapa bagamoyo jamaa angu anauza shamba lake ekari 20 kila ekari laki tano tu......wakati wewe unataka 180m kwa ekari moja tu.
 
Ila hi nchi yetu ni taamu hapa bagamoyo jamaa angu anauza shamba lake ekari 20 kila ekari laki tano tu......wakati wewe unataka 180m kwa ekari moja tu.
Hiyo bei ni rahisi mpaka nimeshtuka.
Huwezi kufananisha hekari 100 za Bagamoyo ndanindani na hekari moja ya Mbezi Louis barabarani.
Hayo yatakua siyo maisha yanayozingatia ukweli.
 
• Mahali: Luguruni, mita 150 kutoka barabara ya Morogoro
• Ukubwa: 5000 sqm
• Bei: TZS 180,000,000
.
Call/Watsap: +255767157788
.
upande wa kushoto kama unatoka Mbezi Louis • panafaa kwa yard ya mabasi, malori au mitambo. pia panafaa kwa ujenzi wa kanisa, nyumba za kupangisha au hostel za wanafunzi • panafikika majira yote kwa gari kubwa au dogo • umeme na maji vipo
.
Mali zaidi kwa makazi, biashara au viwanda, kununua au kupanga tembelea: Bestates Tanzania
View attachment 1953607View attachment 1953608View attachment 1953609
Kaibie washamba
 
Hiyo bei ni rahisi mpaka nimeshtuka.
Huwezi kufananisha hekari 100 za Bagamoyo ndanindani na hekari moja ya Mbezi Louis barabarani.
Hayo yatakua siyo maisha yanayozingatia ukweli.
Sawa mbezi na bagamoyo sio sawa kuna umbali wa kilomita kama 40, Sawa bei zisiwe sawa sawa ila sio kwa tofauti ya 180m kwa ekari moja tu.
 
Back
Top Bottom