Kazi Ndiyo Kipimo Cha Utu
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 1,211
- 233
ni umbali gani toka shambani hadi idara ya ardhi wilayani?Wilaya ni chemba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni umbali gani toka shambani hadi idara ya ardhi wilayani?Wilaya ni chemba
Takribani 18ni umbali gani toka shambani hadi idara ya ardhi wilayani?
Takribani 18
BadoKwa kilimo kisichotumia mbolea
KaribuniShamba linauzwa ekari 60 lipo CHEMBA mkoani Dodoma km 50 toka Dodoma mjini km 16 toka barabara kuu ya Dodoma Arusha bei 100000/- kwa kila ekari moja linafaa kwa mifugo Na kilimo cha mahindi, maharage, mbaazi, ufuta, alizeti, mtama, mihogo, na ulezi ni km 2 kutoka mto bubu
Ukishindwa kupata mteja nitafute.Nitachukua zote kwa 30,000 kila heka,kwasababu hata wakininyang'anya kwa kuchelewa kuliendeleza nitapata nusu maumivu.Karibuni
Serikali ina mpango wa kuchukua mashamba yote yasiyoendelezwa.Nani akunyang'anye
LimefyekwaSerikali ina mpango wa kuchukua mashamba yote yasiyoendelezwa.
ni PM bei yako ya mwisho.Hiyo bei yako hata ya kufyekea bado
Ndugu yangu,kufyekwa ndiyo kuendeleza kweli?Limefyekwa
Ndo maana ya shambaNdugu yangu,kufyekwa ndiyo kuendeleza kweli?
Shamba linauzwa ekari 60 lipo CHEMBA mkoani Dodoma km 50 toka Dodoma mjini km 16 toka barabara kuu ya Dodoma Arusha bei 100000/- kwa kila ekari moja linafaa kwa mifugo Na kilimo cha mahindi, maharage, mbaazi, ufuta, alizeti, mtama, mihogo, na ulezi ni km 2 kutoka mto bubu