Kiwanja kinauzwa chanika Nguvu kazi kipo mita 900 toka barabara ya ram.kuna umeme .barabara ipo mpaka kwenye kiwanja .Ni eneo Endelevu,Tambarare.ujenzi ni rahis sana mchaka unapata hapo hapo kwenye kiwanja .ukumbwa miguu 38 kwa 20.bei maelewano.cmu 0713 95 92 90 ,0685 65 55 35
Usije fanya usanii kwa viwanja vya JUKUILA.Viwanja kwa being. Being chee kunu umeme .contact 0713959290
Bwahahaha!!feet 37 ni sawa na 11.277mita na feet 23 ni sawa na 7.0104mita, haya je hiyo plot unaijenga nyumba ya ukubwa gani!? na bei ya kiwanja ni kiasi gani!?
Kuna watu wanapenda kuchekesha walionuna...feet 37 ni sawa na 11.277mita na feet 23 ni sawa na 7.0104mita, haya je hiyo plot unaijenga nyumba ya ukubwa gani!? na bei ya kiwanja ni kiasi gani!?