Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Tunauza Viwanja sehemu mbalimbali Dar es Salaam na maeneo ya Jirani

Hahahah,ungeuliza chanika ipi,maana chanika kubwa sana.
Mie naijua hadi Stand mwisho,maana ndio nilijenga,kuna njia ya kwenda Nzasa kama sikosei mbele huko.

Pale pale karibu na Chanika mjini...mwendo wa dakika 5 kwa gari...Tuna viwanja Lukooni mtaa wa shuleni pale kwa 1.8M..Videte kipepeo road kwa 1.6M na Kibaoni Mji mpya kwa 1.5
 
Pale pale karibu na Chanika mjini...mwendo wa dakika 5 kwa gari...Tuna viwanja Lukooni mtaa wa shuleni pale kwa 1.8M..Videte kipepeo road kwa 1.6M na Kibaoni Mji mpya kwa 1.5
Unahisi eneo gani kati ya hayo hayapo kiswazi zaidi.Yaani yapo ki plan zaidi,njia za kufahamika,ukaribu wa main road nk
Maana sehem nimeyojenga hata mitaa haipo sawa,gari napark nyumba ya nne.
 
Tutaamini vp km sio changa la macho?Nikigezo gani kutoka kwenu kinachoweza kutuaminisha kama sio wale ndugu zetu.Samahani kama nimewakwaza lakini.Naomba jibu tafadhali.
Ili kujiaminisha ni vizuri kutembelea na kujionea mwenyewe kwa sababu uzuri si kwamba unalipia bila kuona...unafika site unakagua viwanja,,,unachagua ulichokipenda ...unakwenda serikali za mitaa kupata uhakika na kisha unalipia na kujimilikisha...karibu sana
 
Unahisi eneo gani kati ya hayo hayapo kiswazi zaidi.Yaani yapo ki plan zaidi,njia za kufahamika,ukaribu wa main road nk
Maana sehem nimeyojenga hata mitaa haipo sawa,gari napark nyumba ya nne.

Kibaoni mMji Mpya ndiko kuko vizuri zaidi kwa sababu watu wanajenga mijengo ya kisasa na kuna mazingira mazuri sana...ila kwa ukaribu wa Main Road ni Lukooni na hata Kipepeo Road...ila ni vuzuri zaidi ukaja kujionea mwenyewe
 
Mkuu mi nataka huko mbezi makabe, ila nategemea kuja dar mwezi wa kumi mwishoni.Vp naweza kupata kwa muda huo
 
Kibaoni mMji Mpya ndiko kuko vizuri zaidi kwa sababu watu wanajenga mijengo ya kisasa na kuna mazingira mazuri sana...ila kwa ukaribu wa Main Road ni Lukooni na hata Kipepeo Road...ila ni vuzuri zaidi ukaja kujionea mwenyewe
Asante kwa maelezo yako,hukohuko Kibaoni nahisi ndio mwake.
Bei ipoje na ukubwa upoje,na je mtu akitaka viwanja kwam vitatu vinavyofuatana,yaani three in one,kuna punguzo?na je vinapatikana,maana natak kuweka plan of my Dream House with huge Garden and Sports activities kwa watoto wangu.
Maana Baba nimekulia uswahili,watoto wamezaliwa uswahili,ila nataka wakulie angalau kwenye mazingira ya kisasa zaidi.
Haya twende,ili niangalie kama naweze kuja mwezi ujao.
Na Je kuna Fee yoyote kwa mtu anaetaka kwenda kuona?
 
Asante kwa maelezo yako,hukohuko Kibaoni nahisi ndio mwake.
Bei ipoje na ukubwa upoje,na je mtu akitaka viwanja kwam vitatu vinavyofuatana,yaani three in one,kuna punguzo?na je vinapatikana,maana natak kuweka plan of my Dream House with huge Garden and Sports activities kwa watoto wangu.
Maana Baba nimekulia uswahili,watoto wamezaliwa uswahili,ila nataka wakulie angalau kwenye mazingira ya kisasa zaidi.
Haya twende,ili niangalie kama naweze kuja mwezi ujao.
Na Je kuna Fee yoyote kwa mtu anaetaka kwenda kuona?

Vlivyofuatana utapata na punguzo kidogo litakuwepo...karibu sana
 
Asante kwa maelezo yako,hukohuko Kibaoni nahisi ndio mwake.
Bei ipoje na ukubwa upoje,na je mtu akitaka viwanja kwam vitatu vinavyofuatana,yaani three in one,kuna punguzo?na je vinapatikana,maana natak kuweka plan of my Dream House with huge Garden and Sports activities kwa watoto wangu.
Maana Baba nimekulia uswahili,watoto wamezaliwa uswahili,ila nataka wakulie angalau kwenye mazingira ya kisasa zaidi.
Haya twende,ili niangalie kama naweze kuja mwezi ujao.
Na Je kuna Fee yoyote kwa mtu anaetaka kwenda kuona?

Karibu uone...tutakupeleka hadi site na hakuna fee yoyote...ni BURE
 
Haahahaa...tunwarahishia watz maisha mkuu...karibu na wewe ufaidi
Kivipi?Serikali yetu tukufu kwa zaidi ya miaka hamsini sasa toka tupate uhuru imeshindwa kuturahisishia maisha,wewe utawezaje?
 
Back
Top Bottom