Tunavyosema mkataba una dosari muelewe, oneni ufafanuzi wa CCM hapa na ndio wamesema wanaelimisha watu

Tunavyosema mkataba una dosari muelewe, oneni ufafanuzi wa CCM hapa na ndio wamesema wanaelimisha watu

Wewe ni mwanasheria uchwara, ile haina sifa ya kuitwa IGA, jaribu kuficha ushamba wa kisheria kwa kutafuta IGA zilizowahi kusainiwa na nchi nyingine ulinganishe na ule upuuzi ambao wewe na Dr Msukuma na Nape mnauita IGA.
Kiukweli hii IGA ya DPW na Bandari zetu, imetusaidia sana, sasa kila mtu ni mwanasheria!. Prof. Shivji anatoa hoja za msingi, anajibiwa na Sheikh ubwabwa!. Kama wewe ni mtu makini, utaangalia hoja za kisheria mimi nilizotoa Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! mwanasheria wa LL.B hons ya UDSM ambaye ni wakili wa kujitegemea, kuitwa mwanasheria uchwala, ni kumtukana!. Tusitukanane wandugu heshimuni purofesheno za watu!.

P
 
Kiukweli hii IGA ya DPW na Bandari zetu, imetusaidia sana, sasa kila mtu ni mwanasheria!. Prof. Shivji anatoa hoja za msingi, anajibiwa na Sheikh ubwabwa!. Kama wewe ni mtu makini, utaangalia hoja za kisheria mimi nilizotoa Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! mwanasheria wa LL.B hons ya UDSM ambaye ni wakili wa kujitegemea, kuitwa mwanasheria uchwala, ni kumtukana!. Tusitukanane wandugu heshimuni purofesheno za watu!.

P
Kikwetu Mayala ni Njaa,
-Jiwe
 
Kiukweli hii IGA ya DPW na Bandari zetu, imetusaidia sana, sasa kila mtu ni mwanasheria!. Prof. Shivji anatoa hoja za msingi, anajibiwa na Sheikh ubwabwa!. Kama wewe ni mtu makini, utaangalia hoja za kisheria mimi nilizotoa Japo Bunge Limeridhia, DPW Kuendesha Bandari Zetu, ni Makubaliano Tu, Tukithibisha Kuna Matatizo, Tunarekebisha Mkataba wa HGA, Kazi Nzuri Iendelee! mwanasheria wa LL.B hons ya UDSM ambaye ni wakili wa kujitegemea, kuitwa mwanasheria uchwala, ni kumtukana!. Tusitukanane wandugu heshimuni purofesheno za watu!.

P
Dr Mruma pia ni zao la UDSM.
 
Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Hoja yako ni sawa na asemaye kuwa katiba ikiwa mbovu, basi sheria zinazotungwa kusimamia sekta na mambo mbalmbali ya jamii ile zitarekebisha mapungufu ya katiba hiyo mbovu!!

Kwa kudhani hivyo, sio kwamba hizo zinakuwa ni fikra za kijuha?
 
Hoja yako ni sawa na asemaye kuwa katiba ikiwa mbovu, basi sheria zinazotungwa kusimamia sekta na mambo mbalmbali ya jamii ile zitarekebisha mapungufu ya katiba hiyo mbovu!!

Kwa kudhani hivyo, sio kwamba hizo zinakuwa ni fikra za kijuha?
nimekubali
P
 
Back
Top Bottom