Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Unajulikana hata nikiwa mdogo nimekutumia 10 years because of you.. na wengineo malegend Pascal MayallaBahasha hizi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajulikana hata nikiwa mdogo nimekutumia 10 years because of you.. na wengineo malegend Pascal MayallaBahasha hizi
as many as it takes!, kila project ina HGA yake, to start with ni HGA moja ya berth 1-7, wakipewa kitu kingine chochote, kina HGA yake.Kutakuwa na HGA ngapi?
Duh...!.Why don't GTs like me and others think that, you Mr. Pascal Mayalla is actually a really mburula at the same time mburumatata whom you sometimes (not always) bring on the table uncomprehensible materials?
Duh...!.By the way, umesoma hicho kinachoitwa (vyovyote vile) iwe mkataba au makubaliano? Au nawe ni miongoni mwa wale mliolipiwa vyumba Five-star hotel huko Dubai na kupata bahasha za dinari ili mje kusema chochote huku mkiweka akili na ufahamu na maslahi ya nchi hii na watoto wa watoto wenu kwenye matumbo yenu?
Au hamjui kuwa mkienda kunya chooni hicho mlichokula leo mtarudi square one palepale na kuhitaji kula tena huku mkiwa mmeshakabidhi fisi jiko na stoo yenu ya chakula?
Naheshimu mawazo yakoYaani wewe unaingia mkataba au makubaliano ya kijinga kama haya kama mjaribio halafu kwa kusema kuwa "yakitushinda tunayafutilia mbali?"
Utauafutilia mbali Kwa namna gani by the way? Ni wapi au kipengere au ibara gani ktk mkataba/makubaliano hayo kinachokupa hiyo option pasipo kuwa na gharama kubwa ya kulipa?
Kwanini hamjifunzi kwa makosa ya makubaliano na mikataba iliyopita ambayo taifa linaingia hasara ya gharama kubwa leo kulipia? What kind of people are kuwa na fikra za kijinga na kipumbavu kiasi hiki??
Hili swali ni muhimu sanaKwahiyo Bunge liliridhia makubaliano?
Nchi yetu ni nzuri mno ila baadhi ya wananchi na baadhi ya viongozi ndio wanaiharibu.Tuna nchi ya kijinga sn
Huyu jamaa sio mzee, labda kuna mahali amepata kabahasha, anatafuta uteuzi au uchawa tu.Pascal mzee wangu unatatizo sehemu, km sio ulevi basi ni uzee.
Tangu lini makubaliano mabovu yakaleta mkataba mzuri?
Mbona mnajitoa ufahamu kiasi hiki?
Huyo atakuwa Mjema. Hivi Maza alimuokota wapi huyo Mwanamama. Bora ya Nape na for 4 ya ya point 29.Wanaendelea kupotosha kwamba mkataba huu hauna ukumo, sio kweli! Mkataba huu una ukomo; ibara ya 23 ibara ndogo ya 1 inasema wazi ukomo wa mkataba huu; itakapotokea moja katika haya mambo mawili, kule kwenye mradi wa utekelezaji (ambao haujaanza) mradi ukaisha basi na mkataba huu utakuwa umefika mwisho lakini ikitokea ile mikataba mingine miwili ikisainiwa (HGA na mkataba wa mradi) na utekelezaji wake umeisha basi mkataba huu utakuwa umefika ukomo.
View attachment 2697503
Mkuu Pascal, katika IGA kuna ahadi on both parties ya kutimiza mambo fulani in the future. Ahadi hizo ni executory consideration. Na zisipotimizwa kuna legal consequences.Mkuu Fundi Mchundo , issue ya contract na agreement sio issue ya imani na kuamini, ni issue ya vigezo vya kisheria, contract ni agreement yenye legal implications, agreement haina legal implications. Hii IGA haina legal implications or consequences
Kila contracts ni agreement lakini sio kila agreement is contract.
Sifa za contract ni pamoja na kuwa na kitu kinachoitwa consideration, hii IGA, haina consideration.
P
Wewe ni Prof Muruma wa JFs.Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Ok umejibu vizuri..IGA haitaji wala ku limit idadi za HGA. Maana yake HGA ni kwamba HGA zinaweza kuwa nyingi with different time intervals. Unaweza kuwa na project ya 25 years, ukiwa mwaka wa 20 ukaingia nyingine ya 15 years..ukiwa mwaka 30 ukaingia nyimgine ya 20..etc.. endlessly. So IGA haina ukomo.as many as it takes!, kila project ina HGA yake, to start with ni HGA moja ya berth 1-7, wakipewa kitu kingine chochote, kina HGA yake.
P
Nakubaliana na wewe, ila lets get to the drawing board ya hii IGA, Watanzania waelimishwe IGA ni nini na ni ya kazi gani,Mkuu Pascal, katika IGA kuna ahadi on both parties ya kutimiza mambo fulani in the future. Ahadi hizo ni executory consideration. Na zisipotimizwa kuna legal consequences.
Amandla...
You are absolutely right, ila kila HGA itakuwa na ukomo wake.Ok umejibu vizuri..IGA haitaji wala ku limit idadi za HGA. Maana yake HGA ni kwamba HGA zinaweza kuwa nyingi with different time intervals. Unaweza kuwa na project ya 25 years, ukiwa mwaka wa 20 ukaingia nyingine ya 15 years..ukiwa mwaka 30 ukaingia nyimgine ya 20..etc.. endlessly. So IGA haina ukomo.
Makubaliano yetu ni kwamba, utanipa nyumba zako nizitumie bure. Kama itatatokea una nyumba nyingine hautaruhusiwa kumpangisha yeyote, utatakiwa uniulize mimi kwanza kama na hiyo nitaihitaji nitumie bure.Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Ndiyo tuna mfumo wa kijinga sn wa uchawaNchi yetu ni nzuri mno ila baadhi ya wananchi na baadhi ya viongozi ndio wanaiharibu.
Nakuuliza tena kwa namna nyingine; Familia inajadili POSA au MAHALI?Nakubaliana na wewe, ila lets get to the drawing board ya hii IGA, Watanzania waelimishwe IGA ni nini na ni ya kazi gani,
IGA ni barua ya posa kwa DPW kuiposa Bandari yetu!.
Mambo yalianza zamani mwezi February 2022 wakati wa Expo Dubai, kijana shababi Mwarabu wa Dubai, kamuona binti Bandari ya Dar es Salaam, kampenda. Akamwalika Mzazi wa binti kutembelea Dubai wakati wa Expo Dubai, ndipo kijana shababi DPW akatangaza nia ya kumposa binti Bandari Dare Salaama. Nia njema, MoU kati ya Bandari na DPW ikasainiwa Dubai huku mzazi akishuhudia, MoU hiyo ni kumruhusu shababi DPW kuleta barua ya posa.
October 2022 shababi DPW katua nchini na mshenga wake kuleta barua ya posa, IGA.
Mzazi wa binti ni Mama Samia, akamruhusu mjomba mtu Prof. Mbarawa kuipokea barua hiyo ya posa, Mbarawa akaanguka saini yake barua ya posa ikapokelewa ile October 2022.
Mzazi wa binti Bandari, mamie mwali akaipeleka barua hiyo ya posa kwenye kikao cha wanafamia, kuomba ridhaa ya wanafamilia kuridhia barua ya posa ikubaliwe binti Bandari aposwe na Mwarabu wa Dubai. Kikao cha familia, kikaridhia, ndio kile kikao cha Bunge kuridhia IGA.
Baada ya posa kukubaliwa sasa ndio anapangiwa mahari. At this stage IGA ni makubaliano tuu ya kukubali kupokea barua ya posa lakini mahari haijapangwa, haijalipwa!.
Tunaweza kuikata hii IGA na hakuna any legal implications!. Ila baada ya kukubalina mahari, HGA, na shababi DPW akakubali, that is a contract, ikitokea tuka ghairi, hawa jamaa watatushitaki for a legitimate expectations.
IGA ni makubaliano tuu, hauna any legal consequences, HGA ndio mkataba rasmi wenye legal implications.
P
Acha porojo mzee, HGA zitakazotungwa zitabebwa na IGA hasa kutakapotokea disputes, ndo maana IGA ina legaly binding clauses, pia IGA ni mkataba wa milele na hicho unachosema ukomo wa HGA ni changa la macho, bahasha nono zimewafanya watu kuweka nchi rehani.Nakubaliana na wewe, ila lets get to the drawing board ya hii IGA, Watanzania waelimishwe IGA ni nini na ni ya kazi gani,
IGA ni barua ya posa kwa DPW kuiposa Bandari yetu!.
Mambo yalianza zamani mwezi February 2022 wakati wa Expo Dubai, kijana shababi Mwarabu wa Dubai, kamuona binti Bandari ya Dar es Salaam, kampenda. Akamwalika Mzazi wa binti kutembelea Dubai wakati wa Expo Dubai, ndipo kijana shababi DPW akatangaza nia ya kumposa binti Bandari Dare Salaama. Nia njema, MoU kati ya Bandari na DPW ikasainiwa Dubai huku mzazi akishuhudia, MoU hiyo ni kumruhusu shababi DPW kuleta barua ya posa.
October 2022 shababi DPW katua nchini na mshenga wake kuleta barua ya posa, IGA.
Mzazi wa binti ni Mama Samia, akamruhusu mjomba mtu Prof. Mbarawa kuipokea barua hiyo ya posa, Mbarawa akaanguka saini yake barua ya posa ikapokelewa ile October 2022.
Mzazi wa binti Bandari, mamie mwali akaipeleka barua hiyo ya posa kwenye kikao cha wanafamia, kuomba ridhaa ya wanafamilia kuridhia barua ya posa ikubaliwe binti Bandari aposwe na Mwarabu wa Dubai. Kikao cha familia, kikaridhia, ndio kile kikao cha Bunge kuridhia IGA.
Baada ya posa kukubaliwa sasa ndio anapangiwa mahari. At this stage IGA ni makubaliano tuu ya kukubali kupokea barua ya posa lakini mahari haijapangwa, haijalipwa!.
Tunaweza kuikata hii IGA na hakuna any legal implications!. Ila baada ya kukubalina mahari, HGA, na shababi DPW akakubali, that is a contract, ikitokea tuka ghairi, hawa jamaa watatushitaki for a legitimate expectations.
IGA ni makubaliano tuu, hauna any legal consequences, HGA ndio mkataba rasmi wenye legal implications.
P
Unakosea tena Pascal. Hayo unayoita makubaliano ni MoU ambayo kweli sio commitment. Unataka kutuambia kuwa hakutakuwa na legal consequeces kama tutaamua kumpa kampuni nyingine kuendeleza maeneo yaliyoainishwa katika Appendix 1 kuwa yataendelezwa na DPW? HGAs ni mikataba ya utekelezaji ya yale yaliyoainishwa katika IGA. Majukumu ya serikali ya JMT kwa DPW ( na vilevile ya DPW kwa serikali ya JMT)yameainishwa kwenye IGA. Mambo kama ajira, kodi, access kwa ardhi n.k. yote yamo kwenye IGA na HGA yeyote ni lazima iendane nayo.Nakubaliana na wewe, ila lets get to the drawing board ya hii IGA, Watanzania waelimishwe IGA ni nini na ni ya kazi gani,
IGA ni barua ya posa kwa DPW kuiposa Bandari yetu!.
Mambo yalianza zamani mwezi February 2022 wakati wa Expo Dubai, kijana shababi Mwarabu wa Dubai, kamuona binti Bandari ya Dar es Salaam, kampenda. Akamwalika Mzazi wa binti kutembelea Dubai wakati wa Expo Dubai, ndipo kijana shababi DPW akatangaza nia ya kumposa binti Bandari Dare Salaama. Nia njema, MoU kati ya Bandari na DPW ikasainiwa Dubai huku mzazi akishuhudia, MoU hiyo ni kumruhusu shababi DPW kuleta barua ya posa.
October 2022 shababi DPW katua nchini na mshenga wake kuleta barua ya posa, IGA.
Mzazi wa binti ni Mama Samia, akamruhusu mjomba mtu Prof. Mbarawa kuipokea barua hiyo ya posa, Mbarawa akaanguka saini yake barua ya posa ikapokelewa ile October 2022.
Mzazi wa binti Bandari, mamie mwali akaipeleka barua hiyo ya posa kwenye kikao cha wanafamia, kuomba ridhaa ya wanafamilia kuridhia barua ya posa ikubaliwe binti Bandari aposwe na Mwarabu wa Dubai. Kikao cha familia, kikaridhia, ndio kile kikao cha Bunge kuridhia IGA.
Baada ya posa kukubaliwa sasa ndio anapangiwa mahari. At this stage IGA ni makubaliano tuu ya kukubali kupokea barua ya posa lakini mahari haijapangwa, haijalipwa!.
Tunaweza kuikata hii IGA na hakuna any legal implications!. Ila baada ya kukubalina mahari, HGA, na shababi DPW akakubali, that is a contract, ikitokea tuka ghairi, hawa jamaa watatushitaki for a legitimate expectations.
IGA ni makubaliano tuu, hauna any legal consequences, HGA ndio mkataba rasmi wenye legal implications.
P