Tunavyosema mkataba una dosari muelewe, oneni ufafanuzi wa CCM hapa na ndio wamesema wanaelimisha watu

Tunavyosema mkataba una dosari muelewe, oneni ufafanuzi wa CCM hapa na ndio wamesema wanaelimisha watu

Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P
Mkuu, hivi ilikuaje miaka ileeee ukwa unakatiza mitaani na boonge la pikipiki ambayo haina plate numbers...😂 then ikaja ikakuburuza hadi ukachakaa....🤣 hili tukio hua nikikumbuka hua nacheka sana...😜
 
Nimekumbuka enzi za ufafanuzi wa JK... mnaitana wazee wa Dar es salaam, nje mnapitia kwanza vibahasha vya kaki na sambusa kwa soda kisha mnaingizwa ukumbini.

Mnaanza kusifia namna alivyopasuliwa tezi dume kisha mwenyekiti JK anatoa ufafanuzi uliojaa ghilba, vijembe kejeli na mipasho wazee wanapiga makofi ufafanuzi kwisha!!
Duh

Ova
 
Duh! Mayala mbona unajiaibisha hivi? Yaani umesomea sheria lakini huelewi hata maana ya contract? Tatizo la kusomea kitu halafu hujawahi ku-practice.

Nikusaidie Mayala, contracts zote ni agreements. Lakini siyo agreements zote ni contracts. Kinachotofautisha kati ya agreement ambayo ni contract na agreement ambayo siyo contract, ni kitu kimoja tu: Agreement ambayo ni contract ina nguvu ya kisheria. Hivyo hii agreement ya kishenzi aliyosaini Mbarawa, kwa sababu ina nguvu ya kisheria, ni contract.

Lakini wajinga kwa vile IGA ina neno Agreement basi wanasema ule mkataba wa kishenzi wa DP ni agreement kwa sababu kuna neno Agreement. Lakini hawajiulizi kama IGA ni agreement kwa sababu ya neno Agreement, itakuwaje HGA iwe contract, wakati na yenyewe ina neno agreement.

CCM ni kaburi la akili. Mtu, katika hali ya kawaida anaweza kuwa na akili, angalao hata ile ya kawaida, lakini akienda CCM na labda akapewa na kacheo kidogo tu, akili yote kwisha, anabakia anabwabwaja vitu vya ajabu mpaka unashangaa.
 
Tatizo la CCM anayetoa ufafanuzi yeye mwenyewe hajausoma
Tatizo kubwa sio kutokuusoma mkataba bali ni uwezo mdogo wa akili uliochanganyika na unafiki. Kwa hiyo hata wakisoma hawaelewi.

Na kimsingi kiongozi yeyote wa CCM amenyimwa uwezo wa kufikiri, anachoruhusiwa ni kukariri tu kile anachotaka mwenyekiti. Hawa watu wanatembea bila akili, kwa sababu kwao akili hazina kazi. Kazi ya kufikiri ameachiwa mwenyekiti.
 
Tatizo kubwa sio kutokuusoma mkataba bali ni uwezo mdogo wa akili uliochanganyika na unafiki. Kwa hiyo hata wakisoma hawaelewi.

Na kimsingi kiongozi yeyote wa CCM amenyimwa uwezo wa kufikiri, anachoruhusiwa ni kukariri tu kile anachotaka mwenyekiti. Hawa watu wanatembea bila akili, kwa sababu kwao akili hazina kazi. Kazi ya kufikiri ameachiwa mwenyekiti.
Aibu kubwa sn
 
Yes CCM wanasema kweli, na huu ndio uelimishaji umma wenyewe kuhusu hii IGA. IGA sio mkataba, ni makubaliano tuu, mkataba ni HGA bado, utakuwa ni mkataba mzuri.
P

Duh! Mayala mbona unajiaibisha hivi? Yaani umesomea sheria lakini huelewi hata maana ya contract? Tatizo la kusomea kitu halafu hujawahi ku-practice.

Nikusaidie Mayala, contracts zote ni agreements. Lakini siyo agreements zote ni contracts. Kinachotofautisha kati ya agreement ambayo ni contract na agreement ambayo siyo contract, ni kitu kimoja tu: Agreement ambayo ni contract ina nguvu ya kisheria. Hivyo hii agreement ya kishenzi aliyosaini Mbarawa, kwa sababu ina nguvu ya kisheria, ni contract.

Lakini wajinga kwa vile IGA ina neno Agreement basi wanasema ule mkataba wa kishenzi wa DP ni agreement kwa sababu kuna neno Agreement. Lakini hawajiulizi kama IGA ni agreement kwa sababu ya neno Agreement, itakuwaje HGA iwe contract, wakati na yenyewe ina neno agreement.

CCM ni kaburi la akili. Mtu, katika hali ya kawaida anaweza kuwa na akili, angalao hata ile ya kawaida, lakini akienda CCM na labda akapewa na kacheo kidogo tu, akili yote kwisha, anabakia anabwabwaja vitu vya ajabu mpaka unashangaa.
 
Back
Top Bottom