Chambusiso
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 2,592
- 4,640
Nawaheshimu sana CHADEMA kama chama kikuu cha Upinzani lakini ni ngumu sana kukipa Nchi chama ambacho marafiki na wadau wao wakubwa ni nchi za nje.
Je, usalama wa rasmali za nchi utakuwepo? Ni swali kubwa la kujiuliza.
Huo usalama wa hizo rasilimali upo mikononi kwa CCM? Jielimishe kwanza