Kuna watu wanajikata kucha na miguu ili chakula kisikose nchini,kuna watu wanakula chaki kila siku ili Taifa lisiwe na wajinga ,kuna watu awalali wapo wanatibu watu ili wasife...Afya...So usidhani jeshi au polisi ndiyo muhimu kuliko watu wengine.Wakati mwingine kumkumbusha tu kwamba kuna watu huwa hawalali kwa ajili ya taifa lao.
Du, kweli Wasiojulikana walitia watu woga!Mpaka umtwangie Mike utakuwa huna kucha kama nne. Nasikia Jakaya alikuwa anawapeleka korea kaskazini kutalii. We fanya mchezo
Tangu pompeo atoe tamko naona wasiojulikana na bosi hatujasikia Israel akiwatembelea watuMarekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,
Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.
Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.
Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Kwenda kutalii korea kaskazini ndio unaogopa?Du, kweli Wasiojulikana walitia watu woga!
Hasira za nini!Hapo unapoandika nahakika kuna watu wanajua upo wapi na upuuzi wako wanakucheki tu. Ila kwa uungwana tu wanaamua kukuacha.Maana hata wakidili na wewe ni kupoteza muda.
Wasiojulikana wameenda likizo kupisha uchaguziDu, kweli Wasiojulikana walitia watu woga!
Aliyesema hizo kada zingine sio muhimu nani?Kuna watu wanajikata kucha na miguu ili chakula kisikose nchini,kuna watu wanakula chaki kila siku ili Taifa lisiwe na wajinga ,kuna watu awalali wapo wanatibu watu ili wasife...Afya...So usidhani jeshi au polisi ndiyo muhimu kuliko watu wengine.
Nani kachukia?
Sasa hivi hiyo kazi inafanywa na wasiojulikana ndiyo sababu haitangazwi public.Mbona hujaongelea waliokuwa wanavamia misafara ya askari wetu na kuwapora silaha na kuwahua? Mbona ujaongelea genge LA wezi na majambazi wa kuvamia mabenk? Sasa hivi wapo?
Kwa kweli CCM Ni janga kuliko majanga yote yanayotokea duniani!!Cha muhimu zaidi ni marekani na ulimwengu kutuunga mkoni kuipukiutisha hii kijani kwenye nchi yetu maana imekuwa balaa kubwa
Nchi hii ilikuwa imejaa kambale na ndevu! Tuseme ndevu za kambale woote zimenyolewa pamekuwa shwari! Hotesha ndevu uone moto wake kalaghabaho na kibaraka wa mabeberu wewe!
Kambale awafi milele wamejifukia topeni wanasubiria mvua inyeshe wataibuka.Nchi hii ilikuwa imejaa kambale na ndevu! Tuseme ndevu za kambale woote zimenyolewa pamekuwa shwari! Hotesha ndevu uone moto wake kalaghabaho na kibaraka wa mabeberu wewe!
Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,
Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.
Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.
Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Wao wana macho ya rohoni
Mtumshukuru Pompeo ( USA) amesaidia kumaliza ili tatizoAl
Aliyesema hizo kada zingine sio muhimu nani?