feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Mulaga akasema anaenda kupumzisha akili wakati akili zenyewe hana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hili hilo li "Pompeo" limewafyata mkia barabara. Hamna hata fyoo. kujibu. Halafu kama hujagundua, hadi wakuu wamekuwa wapole siku hizi.
Cha kucheesha ni kwamba siku hizi serikali inakimbia kujieleza kwa Marekani hata kabla hawajaulizwa! Unacheza na Pompeo wewe!
Sent using Jamii Forums mobile app