Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Wewe utakuwa sio mtu mwema au labda hata jambazi,yaani ukiona gari tinted nyuma ikikufuata unaogopa! Miaka yote nchi yetu huwa haitaki migogoro na nchi zingine. We acha huyo Pompeo apige kelele, Trump akimwagwa wanakuja Democrats kila mtu atamsahau.Sisi tunamshukuru kwa ilo maana tulikua ata ukiona gari tinted ipo nyuma yako..basi lazma uwajulishe ndugu na jamaa.
Pili ata apa tuna mawaziri basi nao watoe tamko kuhusu USA na kufungia watu wa USA kuja apo Bongo..