Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

bashite na kikosi chake cha wauaji ni waoga balaaa, biti dogo tuu la wamarekani anajifungia chumbani, bado tunaye, basha ake akitoka madarakani tunamburuza mahakamani
 
Heshima yako mkuu...hivi mpaka leo unapenda kuendelea na ushoga kweli?
Wanajeshi kuchunguzwa ni jambo zuri maana walitenda makosa...Ndiyo maana msamalia mwema Hon.POMPEO ajaishia tu huko bali na huku maana nasikia kilio cha wengi.
Uwe unaangalia BBC,CNN na Aljazeera tatizo lako unapenda udaku. Mike Pompeo ni mnafiki hataki wanajeshi wa marekani wapelekwe ICC wakati walifanya makosa. Huyu ni mnafiki tu.
 
Uwe unaangalia BBC,CNN na Aljazeera tatizo lako unapenda udaku. Mike Pompeo ni mnafiki hataki wanajeshi wa marekani wapelekwe ICC wakati walifanya makosa. Huyu ni mnafiki tu.
Kwahiyo unamanisha nini,hivi ilikujua ayo mpaka uangalie CNN au BBC nitakufungia huduma ya kujadiri na wewe kama Litwege,USSR et al
 
Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,

Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.

Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.

Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Kama police na vyombo vingine vya dola haviwezi kupeleleza wala kuchukua hatua kwa matendo maovu yanayofanywa na kikosi cha wasiojulikana then unahaja tena ya kuuliza nani kakiunda na nani anakifadhiri?
 
Mkuu, kitu ya ajabu kabisa ni kwamba kuna watu humu JF wanaona matendo ya Wasiojulikana yalikuwa halali. Hivi unawezaje kuwa mwenda wazimu wa kiasi hicho? Yaani naona kuna watu wana roho mbaya kuliko shetani.
Wamo humu pia Mkuu. Hivyo ni miongoni mwao wanaojaribu kupindisha ukweli. Usiwashangae kwa michango yao ya hovyo humu JF.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,

Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.

Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.

Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
P.mayalla,hamtamwona hapa.
Hii Kama siyo kumzidi uwezo basi itikadi imemlevya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom