Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwe unaangalia BBC,CNN na Aljazeera tatizo lako unapenda udaku. Mike Pompeo ni mnafiki hataki wanajeshi wa marekani wapelekwe ICC wakati walifanya makosa. Huyu ni mnafiki tu.Heshima yako mkuu...hivi mpaka leo unapenda kuendelea na ushoga kweli?
Wanajeshi kuchunguzwa ni jambo zuri maana walitenda makosa...Ndiyo maana msamalia mwema Hon.POMPEO ajaishia tu huko bali na huku maana nasikia kilio cha wengi.
Acha uongo weweWasiojulikana walishasawazishwa na jeshi yetu kibiti.
Kwan wasiojulikana bado wapo kibitiAcha uongo wewe
Kwahiyo unamanisha nini,hivi ilikujua ayo mpaka uangalie CNN au BBC nitakufungia huduma ya kujadiri na wewe kama Litwege,USSR et alUwe unaangalia BBC,CNN na Aljazeera tatizo lako unapenda udaku. Mike Pompeo ni mnafiki hataki wanajeshi wa marekani wapelekwe ICC wakati walifanya makosa. Huyu ni mnafiki tu.
Mbowe yupo madarakani tangu 2004, miaka 16 ilyopita na haonyeshi dalili ya kutaka kuondoka.
JPM ataondoka mwaka 2025 muda wake ukifika. Panapo uhai.
Bora ufunge kabisa.Kwahiyo unamanisha nini,hivi ilikujua ayo mpaka uangalie CNN au BBC nitakufungia huduma ya kujadiri na wewe kama Litwege,USSR et al
Tayari...Bora ufunge kabisa.
Kwan wasiojulikana bado wapo kibiti
Tayari...Bora ufunge kabisa.
Nina mashaka na wewe kwanini kila hoja yako kuna hilo neno? Au nawe ni mmoja wao?Pompeo lile linakasrika mashoga yakiguswa halijui chochote kuhusu mambo mengine
Sent using Jamii Forums mobile app
AhaaaaTayari...
Kwasasa nyangau akijileta mbele yangu nataja tu MUNGU NISAIDIE..
MWISHO NATAJA POMPEO
Kwani hizo movie zote zilikuwa zikiratibiwa na nani kama sio hao hao WASIOJULIKANA??Mbona hujaongelea waliokuwa wanavamia misafara ya askari wetu na kuwapora silaha na kuwahua? Mbona ujaongelea genge LA wezi na majambazi wa kuvamia mabenk? Sasa hivi wapo?
Mimi niliwasikia kibiti wakiua viongoziHawakuwepo Kibiti acha kujifanya unajua kupoteza watu maboya.
Kama police na vyombo vingine vya dola haviwezi kupeleleza wala kuchukua hatua kwa matendo maovu yanayofanywa na kikosi cha wasiojulikana then unahaja tena ya kuuliza nani kakiunda na nani anakifadhiri?Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,
Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.
Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.
Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Oooh kumbe wanajulikana na siajabu Kodi zetu ndo zinatumika kufadhili ugaidi?Wasiojulikana wana umuhimu wake hata marekani wapo
Wanasawazisha wasaliti wa nchi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wamo humu pia Mkuu. Hivyo ni miongoni mwao wanaojaribu kupindisha ukweli. Usiwashangae kwa michango yao ya hovyo humu JF.Mkuu, kitu ya ajabu kabisa ni kwamba kuna watu humu JF wanaona matendo ya Wasiojulikana yalikuwa halali. Hivi unawezaje kuwa mwenda wazimu wa kiasi hicho? Yaani naona kuna watu wana roho mbaya kuliko shetani.
Hivi Pole Pole ameenda kumtoa MwanaFA Segerea au ?Ahaaaa
P.mayalla,hamtamwona hapa.Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,
Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.
Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.
Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.