Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

Tunawashukuru sana Marekani kwa kukikata meno kikosi cha Wasiojulikana!

Kabla hawajatoa Onyo walikutana na Mwenye kikosi na kumweleza ana kwa ana kuwa tunajua wewe ndio umekiunda na kukifadhili, kisambaratishe mara moja wakasema " we are not going to repeat" kama unavyojua mmarekani akisema jambo ana ushahidi 100%. Tangu hapo siraha iliyobaki ni uhujum uchumi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Hawana mpya tena

Kupata kiongozi J. Kalulu ni tatizo jumla

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walishaki-beep kichwa cha Wasiojulikana. Endeleeni kama mnaweza basi. Statement moja tu ya Pompei wa Marekani na itakuwa mwisho wenu. Hilo wamewaambia wazi.
Mwambie huyo Mike hata sisi tuna yetu moyoni. Wao na CIA yao ndio walimuua Patrice lumumba rafiki wa Mwl JKN na sisi huwa hatuongei hadharani mwambie aendelee tu.Yaani sisi kupinga ushoga ndio asingizie hadi ambayo hayapo...
 
Kw maneno mengine unakiri kuwa kuna mauaji ndani ya nchi yetu ila Marekani haina moral authority kuongelea mauaji hayo. Sawa?
Mauaji yapo dunia nzima na sababu hutofautiana kati ya nchi moja na nyingine.

Wanaoishi ni binadamu wenye udhaifu wa kibinadamu.
 
Kwa nini tunawapapatikia? Tujiulize kwanza. Mind you, si wewe wala mimi bali ni viongozi wa taifa letu ndo wanapapatikia.
Mleta mada anajenga hoja kama vile Marekani ndio kila kitu, wakati wamefanya uchafu mwingine tangu miaka ya 1960 hata kabla ya hapo.

Tafuta sababu hasa ya Kennedy kuuawa 1963 na mauaji mengine mengi tu ya kinyama yaliyofanywa kwa ruhusa ya CIA.
 
Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,

Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.

Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.

Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Sawa...umewasahau wale 'wasiojulikana' waliokuwa wakiua Askari na hasa polisi ...hujawataja 'wasiojulikana' wa kule kibiti waliokuwa wakiwaua raia wema na hasa viongozi wa serikali na CCM..
 
Mleta mada anajenga hoja kama vile Marekani ndio kila kitu, wakati wamefanya uchafu mwingine tangu miaka ya 1960 hata kabla ya hapo.

Tafuta sababu hasa ya Kennedy kuuawa 1963 na mauaji mengine mengi tu ya kinyama yaliyofanywa kwa ruhusa ya CIA.
Irrelevant!
Hatutaki MAUAJI .... full stop. Sheria za nchi zifuatwe !
 
Marekani walijua kabisa kwamba kulikuwa na kikosi kilichobatizwa jina la "Wasiojulikana" hapa nchini, kikosi ambacho kilijikita katika kuteka watu na hata kuua. Na Marekani waliona wazi kwamba wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana walikuwa ni kutoka vyama vya upinzani pamoja na waandishi wa habari na wananchi kwa ujumla walioikosoa serikali. Pia kulikuwa na wafanya biashara wakubwa ambao walionekana kutenda kinyume na matakwa ya serikali,

Na jambo jingine Marekani waliloona wazi ni kwamba siku zote Polisi hawakuonyesha nia ya dhati ya kushughulikia na kupepeleza kesi au matukio yaliyofanywa na hiki kikosi cha Wasiojulikana. Mara nyingone Polisi walitoa matamko ya kuwalaghai na kuwapoteza lengo wananchi pale ilipohusu matukio ya Wasiojulikana.

Ndipo Marekani wakaamua kuingilia na kuwaokoa watanzania walioendelea kuwa wahanga wa kikosi hiki cha Wasiojulikana. Wakatuma ujumbe. Wakatoa onyo.

Tunawashukuru sana Marekani kwa jambo hili. Ni wazi kuingilia kwenu kumeokoa maisha ya Watanzania wengi na kutoa ahueni kubwa. Tunajua watu wegi walikuwa kwenye "hit list" ya hiki kikosi cha Wasiojulikana na kama sio kuingilia kwenu wengi wangeumizwa au kutoweshwa. Lakini bado tunaomba mwende mbali zaidi na kufunua wazi nani waliohusika na kikosi cha Wasiojulikana, na kiliundwa kwa amri ya nani. Damu za waliopota zinatulilia tuwafanyie hilo.
Mungu wabariki wamarekani
 
Hapo unapoandika nahakika kuna watu wanajua upo wapi na upuuzi wako wanakucheki tu. Ila kwa uungwana tu wanaamua kukuacha.Maana hata wakidili na wewe ni kupoteza muda.
Jpm ameomba msamaha kwa pompeo, kila mbabe na mbabe wake
 
Back
Top Bottom