Dunia inaendeshwa na principles na kanuni za kimaumbile na energy of attraction ya kipekee sana , ukienda kinyume na hii energy na principles zake lazima tu kiumane.naelewa point yako mkuu
ila miujiza ninayoongelea hapa ni kama ile kupata utajiri kwa kuombewa
Hata ya Biblia haipo pia wale ni wamiliki watumwa wa akilimiujiza haipo. wale ni wafanya biashara
That's the power of scienceMiujiza ipo mingi sema tumechukulia kawaida kama ndege kupaa angani , Meli kuelea juu ya maji na mizigo mingi, kuwasiliana na mtu yupo anstadarm wewe upo kidimbwi na nk.
Watu wengi wanadanganyika kwa kukosa uelewa. Miujiza haipo kwa ajili ya kuleta shortcut kwenye maisha wala haipo kama entertainment ya kwamba nani ana miujiza mingi zaidi. Miujiza ilifanywa na mitume ili kuvalidate message waliyokuja nayo kwa jamii zao. Mitume walifanya miujiza ili kuthibitisha utume wao, ambao aghalabu walikuja na ujumbe maalumu kwa watu wao kutoka kwa Mungu. Miujiza ilikuwa ni kwa wale wanaomshuhudia na ndo maana kila alipokuja mtume mwengine pia alikuja na miujiza yake i.e. Yesu hakusimulia miujiza ya Moses bali alifanya yake, Moses hakusimulia miujiza ya Joseph na Noah bali alifanya yake.Unaposema nisali kanisani kwangu unamaanisha nisali kanisa gani haswa!?
Miujiza huwa ni kitu valid: hata Yesu aliifanya: na wapo wanaoifanya pia katika ulimwengu wa sasa.
wapo wanaoifanya kwa kumtumia MUNGU na wapo wanaoifanya kwa kumtumia shetani.
Unamaanisha nini!?
Roho mtakatifu ipojeUtawagundua Kwa Matendo Yao Tu Roho Mtakatifu Atakuongoza Tu UTAJUA HAPA NAPIGWA
HATA MTUME PETRO KUTEMBEA KWAKE TU KULIKUWA KUNAONYESHA NI MWANAFUNZI WA YESU.
🤣Okay why hao mitume watembea majini na wapasua mwezi hawapo saa hivi, why wapo kwenye story... Mungu aliona ni Bora kutokea watu kijijini jangwani katika kabila moja na hamna magazeti hamna camera hamna internet Ila saa hivi Kuna technology ya kujua chochote litokealo Ila huyu Mungu hajamtokea mtu, 🤣ndo ujue Biblia ni uhuni tu wa mababu wa kaleWatu wengi wanadanganyika kwa kukosa uelewa. Miujiza haipo kwa ajili ya kuleta shortcut kwenye maisha wala haipo kama entertainment ya kwamba nani ana miujiza mingi zaidi. Miujiza ilifanywa na mitume ili kuvalidate message waliyokuja nayo kwa jamii zao. Mitume walifanya miujiza ili kuthibitisha utume wao, ambao aghalabu walikuja na ujumbe maalumu kwa watu wao kutoka kwa Mungu. Miujiza ilikuwa ni kwa wale wanaomshuhudia na ndo maana kila alipokuja mtume mwengine pia alikuja na miujiza yake i.e. Yesu hakusimulia miujiza ya Moses bali alifanya yake, Moses hakusimulia miujiza ya Joseph na Noah bali alifanya yake.
Watu wanapaswa waelewe unapomsikia mtu anajiita nabii na anakusanya watu kuwapa miujiza huyo ni muongo!!! manabii wa kweli walifundishwa moja kwa moja neno la mungu na Mungu mwenyewe kupitia malaika wake, sasa anakuja mtu anajiita nabiii baada ya kumaliza mafunzo ya bible study na mafundisho yake yote yapo based na alichojifunza huko alikofunzwa, zaidi ya yote wengi wao ukiwasikiliza wako more of a psychologists kuliko wahubiri wa imani.
Hao wanaojiita manabii ni viongozi tu wa makanisa hakuna zaidi.
Manabii wafanya miujiza wote ni manabii wanaotumia uchawi au naweza sema ni manabii wa shetaniKumekuwa na kundi kubwa sana la manabii waliopo katika nchi yetu ya Tanzania. Na imekuwa ngumu sana kutambua watu hawa kama ni manabii wa kweli au la,!
Sijajua kwa watu wenye imani kubwa, hili naliongea mimi mwenye imani ndogo; inapotokea mtu(nabii) anakwambia kitu ambacho kina uhusiano direct na maisha yako au kukwambia kitu flani kitatokea na kitatokea katika njia flani alafu na kweli ikatokea huwa inatakisa sana imani za wengi na kufanya waamini kuwa nabii yule ni wa kweli.
Swali langu ni tunawatambuaje watu hawa (manabii) kwamba yupi ni nabii wa kweli na yupi ni nabii wa uongo!?
We bado unapigika vizuri kabisa!Utawagundua Kwa Matendo Yao Tu Roho Mtakatifu Atakuongoza Tu UTAJUA HAPA NAPIGWA
HATA MTUME PETRO KUTEMBEA KWAKE TU KULIKUWA KUNAONYESHA NI MWANAFUNZI WA YESU.
Baada ya kristu yeyote anayejiita NABII ni mwongowasio na makanisa rasmi wote ni wa uongo.
sali kanisani kwako kwenye dhehebu lako.
mnakimbilia miujiza, kitu ambacho hakipo.
Watanzania tumekuwa mazezeta kweli kweli! Jana nimesikiliza kituko kwa Mwamposa sina hamu! Eti mama amepeleka udongo ukabarikiwe akapewa na maji ya upako ili aweze kuvuna pakubwa. Sasa mavuno yenyewe, amelima ekari 100 za mahindi akavuna magunia 1220 sasa ukigawa hapo si kama kila ekari ni magunia 12.2? Cha ajabu ni kipi hapo? Hapo mbona ni sawa tu na mkulima wa kawaida? Miujiza imetupumbaza!wasio na makanisa rasmi wote ni wa uongo.
sali kanisani kwako kwenye dhehebu lako.
mnakimbilia miujiza, kitu ambacho hakipo.
Kiongozi, ili kujua nabii wa uongo hakikisha unafanya ya fuatavyoKumekuwa na kundi kubwa sana la manabii waliopo katika nchi yetu ya Tanzania. Na imekuwa ngumu sana kutambua watu hawa kama ni manabii wa kweli au la,!
Sijajua kwa watu wenye imani kubwa, hili naliongea mimi mwenye imani ndogo; inapotokea mtu(nabii) anakwambia kitu ambacho kina uhusiano direct na maisha yako au kukwambia kitu flani kitatokea na kitatokea katika njia flani alafu na kweli ikatokea huwa inatakisa sana imani za wengi na kufanya waamini kuwa nabii yule ni wa kweli.
Swali langu ni tunawatambuaje watu hawa (manabii) kwamba yupi ni nabii wa kweli na yupi ni nabii wa uongo!?
Usijenge imani YAKO KWA mtu,Kanisa au misingi Fulani fulani ya kikundi cha watu!
Jenga imani thabiti KWA muumba wako tu!!
Kuhusu manabii usiumize kichwa sio KAZI YAKO kujua yupi wa kweli au uongo!!we sikiliza chukua yanayokufaa tu!mengine achana nayo!!
KAZI hiyo mtuachie Mungu aliewaumba wqnadam wote!!
Nimekuelewa sana.Kiongozi, ili kujua nabii wa uongo hakikisha unafanya ya fuatavyo
1. Muamini Yesu Kristo kama bwana na mwokozi wa maisha yako, (iwapo bado.. Ila naamini tayari ushaokoka)
2.Ujazwa na Nguvu ya Roho Mtakatifu(kama bado, maana huyu ndio anaetuongoza ktk kujua Yesu Kristo kwa sahihi na ndio mtenda miujiza halisi)
3. Soma neno la Mungu kwa kuomba uongozi wa Roho Mtakatifu, hapa ndio utaweza kupata maarifa ya kutambua Roho anafanya kazi ndani ya nabii yoyote, maana nguvu ya Roho Mtakatifu ndani yako atakukumbusha neno la Mungu lililo sahihi kwa kila neno atalohubiri Nabii(nguvu ya kupambanua Roho).
4.kabla huja enda ibada yeyote, ya nabii au mchungaji yeyote, ombea ibada hiyo na Muombe Mungu akuongoze kwa kukupa Amani kama ni Sawa kupeleka roho yako pale.. Maana Neno la Mungu lina Sema Na Amani ya Kristo iamue ndani yetu, popote ambapo sio Roho wa Kristo anahudumu lazima Ukose Amani kushiriki ibada. Msijipeleke tu kwasababu wameweka ma tangazo ya kimataifa, Paulo anasema, Linda Sana Moyo wako kuliko vyote ulindavyo, maana ukipeleka Roho yako ikaharibiwa umepoteza vyote. 🙏
Una uhakika gani kristo ndo nabii wa ukweliBaada ya kristu yeyote anayejiita NABII ni mwongo
🤣Why Mungu muweza yote mjua yote na mpenda wote ambae yupo kote na ni wa mda wote awatokee watu wachache katika kipindi kichache ambacho hamna camera hamna magazeti hamna chochote isipokuwa story story tu za umbea... 🤣Na wewe unaletewa huyu Mungu unamuacha wa kwako unamuita shetani...😅kweli ukoloni haujatufundisha chochoteKazi ya kumjua nabii WA uongo ni ndogo Sana mkuu. Ukiona huyo anaejiita nabii ni MNYAKYUSA au MCHAGA au MPOGOLO Au kabila lolote Kutoka Africa Ujue ni muongo. Kwa sababu MUNGU alitenga middle east pekee. Huku kwetu Kuna wauza mafuta na maji chupa tu
Hakuna nabii wa ukweli, acheni uongo.Kumekuwa na kundi kubwa sana la manabii waliopo katika nchi yetu ya Tanzania. Na imekuwa ngumu sana kutambua watu hawa kama ni manabii wa kweli au la,!
Sijajua kwa watu wenye imani kubwa, hili naliongea mimi mwenye imani ndogo; inapotokea mtu(nabii) anakwambia kitu ambacho kina uhusiano direct na maisha yako au kukwambia kitu flani kitatokea na kitatokea katika njia flani alafu na kweli ikatokea huwa inatakisa sana imani za wengi na kufanya waamini kuwa nabii yule ni wa kweli.
Swali langu ni tunawatambuaje watu hawa (manabii) kwamba yupi ni nabii wa kweli na yupi ni nabii wa uongo!?