Tunawatambuaje manabii wa uongo?

Tunawatambuaje manabii wa uongo?

Rais wa Uwongo, Uchawi na Utapeli ni Yule wa Tanganyika Packers Kawe ambaye kwa bahati mbaya hata Jina lake nimelisahau.
Ifike mahali sasa umsamehe huyu Mbaba. Na bahati mbaya naona kama serikali inambeba beba.

Lakini nimeyapokea malalamiko yako kwa asilimia mia moja
 
Asante MUNGU kwa kunipa macho ya Rohoni, ninaweza kuwajua Manabii wa uongo na mambo yajayo...

Asante MUNGU
 
Back
Top Bottom