Tunaweka rekodi sawa, Hayati Magufuli alikuta ukusanyaji mapato upo chini akakusanya na kuyatumia vyema. Je sasa? Voyages

Tunaweka rekodi sawa, Hayati Magufuli alikuta ukusanyaji mapato upo chini akakusanya na kuyatumia vyema. Je sasa? Voyages

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Inasikitisha sana kwa nini watu wanakuwa na tafsiri tofauti juu ya mtu kuzungumzia ukweli wa suala husika. Lakini mtu anakuwa na povu ambalo halihusiki kabisa.

Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.

Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.

Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.

Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.
 
..alitumia fedha alizokusanya vibaya.

..mfano mmoja ni manunuzi ya midege inayotutia hasara kila mwaka.

..au kutumia fedha zetu kujenga mji mkuu dodoma halafu anakwenda kukopa WB kwa ajili ya elimu.
 
..alitumia fedha alizokusanya vibaya.

..mfano mmoja ni manunuzi ya midege inayotutia hasara kila mwaka.

..au kutumia fedha zetu kujenga mji mkuu dodoma halafu anakwenda kukopa WB kwa ajili ya elimu.
Hakuwa na nia mbaya kufufu Atcl iliyokuwa imeuliwa na wahuni wa CcM

Kosa ni kutokuwa na mkakati mzuri wa biashara ya ndege kwa manufaa ya raia wa Tanzania.

Kukopa pesa WB ni sehemu ya maisha ya mataifa maskini
 
Hakuwa na nia mbaya kufufu Atcl iliyokuwa imeuliwa na wahuni wa CcM

Kosa ni kutokuwa na mkakati mzuri wa biashara ya ndege kwa manufaa ya raia wa Tanzania.

Kukopa pesa WB ni sehemu ya maisha ya mataifa maskini

..alikuwa haambiliki.

..alijiona anajua kuliko kila mtu.

..matokeo yake ni maamuzi mabaya yanayolitia taifa hasara.
 
..alikuwa haambiliki.

..alijiona anajua kuliko kila mtu.

..matokeo yake ni maamuzi mabaya yanayolitia taifa hasara.
Maamuzi mabaya kama yapi? Kukusanya mapato ya serikali na kuyatunza hazina? Kufufua miundo mbinu ya usafiri wa majini? Au maamuzi yapi kwa mfano?
 
Maamuzi mabaya kama yapi? Kukusanya mapato ya serikali na kuyatunza hazina? Kufufua miundo mbinu ya usafiri wa majini? Au maamuzi yapi kwa mfano?

..kununua midege isiyohitajika na kuishia kuliingizia taifa hasara.

..kuelekeza fedha nyingi ktk ujenzi wa mji mkuu Dodoma, wakati nchi tayari inao mji mkuu, na ina mahitaji mengine muhimu.

..ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa kijijini kwake ambako hukana abiria wa ndege. Kulazimisha Tanapa ijenge hoteli ya kitalii kijijini kwake.
 
Inasikitisha sana kwa nini watu wanakuwa na tafsiri tofauti juu ya mtu kuzungumzia ukweli wa suala husika. Lakini mtu anakuwa na povu ambalo halihusiki kabisa.

Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.

Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.

Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.

Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.
Acheni udwanzi voyages unajua faida zake?
 
Utaumia Sana acha wapuuzi tuongezeke hakuna siku makusanyo yaliwahi kufika trilioni 1.7 hiyo tunalinganisha na wale Masai kwenda ubalozi wa Kenya na mabango
 
Alihamishia baadhi ya vyanzo vya mapato ya Halmashauri serikali kuu pia.
 
Hakuna mantiki mtu kufanya mambo ya maana halafu uvibane vyombo vya habari kuchunguza na kuripoti habari za serikali yako. Kutishia wakosoaji na wapinzani. Kudhibiti bunge lisijadili kwa uhuru mipango ya serikali. Kujaza maelfu ya watu wanaofuatilia watu “wanaomsema vibaya” Rais mitaani!

Halafu huyo mwendazake akijadiliwa critically mnakuja tena kulalamika kuwa marehemu asisemwe kwa vile hawezi kujibu! Wth!
 
Inasikitisha sana kwa nini watu wanakuwa na tafsiri tofauti juu ya mtu kuzungumzia ukweli wa suala husika. Lakini mtu anakuwa na povu ambalo halihusiki kabisa.

Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.

Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.

Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.

Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.
Mnaweka rekodi sawa na nani, wewe ni nani Tanzania mpaka utuwekee rekodi sawa?huenda utakuwa mnufaika wa vitita alivyokuwa akivigawa barabarani, mtanzania ukimgawia pesa ya wizi lazima atakusifu.
 
Inasikitisha sana kwa nini watu wanakuwa na tafsiri tofauti juu ya mtu kuzungumzia ukweli wa suala husika. Lakini mtu anakuwa na povu ambalo halihusiki kabisa.

Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.

Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.

Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.

Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.
Mkuu una roho ya kimaskini sana. Umesahau kuhusu shule za upili zinazojengwa nchi nzima muda huu.

Umesahau kuhusu shule za msingi na sekondari zinazoendelea kujengwa muda huu nchi nzima?.

Umesahau kuhusu maabara zinazojengwa mashuleni, vipi kuhusu ongezeko la mishahara kwa mara ya kwanza baada ya miaka sita ya hayati JPM?.

Hizi roho za kimaskini ni sehemu ya mikosi inayoitafuna Tanzania tangu tupate uhuru.
 
Hakuna mantiki mtu kufanya mambo ya maana halafu uvibane vyombo vya habari kuchunguza na kuripoti habari za serikali yako. Kutishia wakosoaji na wapinzani. Kudhibiti bunge lisijadili kwa uhuru mipango ya serikali. Kujaza maelfu ya watu wanaofuatilia watu “wanaomsema vibaya” Rais mitaani!

Halafu huyo mwendazake akijadiliwa critically mnakuja tena kulalamika kuwa marehemu asisemwe kwa vile hawezi kujibu! Wth!
Hawa akili zao ni zile zile za unyanyasaji na uonevu, hayo uliyoandika hawezi kuyaelewa hata kidogo.
 
Hakuwa na nia mbaya kufufu Atcl iliyokuwa imeuliwa na wahuni wa CcM

Kosa ni kutokuwa na mkakati mzuri wa biashara ya ndege kwa manufaa ya raia wa Tanzania.

Kukopa pesa WB ni sehemu ya maisha ya mataifa maskini
Huna ulijualo mkuu Nyankurungu2020. ATCL ni mojawapo ya mashirika yaliyosimama mpaka muda huu licha ya hayati JPM kufikisha mwaka na miezi mitatu akiwa kaburini.
 
Hakuwa na nia mbaya kufufu Atcl iliyokuwa imeuliwa na wahuni wa CcM

Kosa ni kutokuwa na mkakati mzuri wa biashara ya ndege kwa manufaa ya raia wa Tanzania.

Kukopa pesa WB ni sehemu ya maisha ya mataifa maskini
ATCL kaifufua ila hakuna faida ,walikuwa wapeleka mgawo na kusifu wanapata faida mwisho wa siku ATCL na mashirika mengine ripoti ya CAG ikaonyesha yanaendeshwa kwa hasara ,mpaka leo ATCL ina deni kubwa ,siyo ATCL na mashirika mengine ya umma,mzee alikuwa anapenda sifa huku anaingiza hasara.
 
Back
Top Bottom