Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Inasikitisha sana kwa nini watu wanakuwa na tafsiri tofauti juu ya mtu kuzungumzia ukweli wa suala husika. Lakini mtu anakuwa na povu ambalo halihusiki kabisa.
Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.
Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.
Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.
Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.
Nani asiyejua kuwa hayati JPM ndio alianzisha mfumo kuwa mapato yote ya serikali yawe centralized na pesa zote ziingie hazina. Huko nyuma ilikuwa ni upigaji tu. Pesa nyingi zilipotea mikononi mwa wajanja wachache.
Alipoingia madarakani tu pesa nyingi akakukusanya na zikatumika bila kificho kwa manufaa ya umma. Mapato ya serikali yakapanda kutoka bil 700 mpaka tril 1.7 kwa mwezi.
Leo hii baada ya mapato kupanda pesa za umma zinafanyiwa anasa kwa safari za ughaibuni zisizokwishwa.
Wapuuzi wachache na wajinga sana wakisikia tunasema kweli wanaleta kebehi za kipuuzi.