Tunaweka rekodi sawa, Hayati Magufuli alikuta ukusanyaji mapato upo chini akakusanya na kuyatumia vyema. Je sasa? Voyages

Tunaweka rekodi sawa, Hayati Magufuli alikuta ukusanyaji mapato upo chini akakusanya na kuyatumia vyema. Je sasa? Voyages

Lipa tozo acha blaa blaa..Wakati nyie mnakwapua kwenye accounts za Wafanyabiashara na vitambulisho feki vya machinga mbona hukuropoka?

Hukwapuliwi bali unakatwa Kodi..
Mi sijakwapua mkuu ila pia ni vyema bilionea akachangia kodi sio mlalahoi abinywe kende halafu tajiri akwepe kodi aachwe. Huo ni ujinga ambao hautupeleki kokote. Kitambulisho cha elfu 2O kina mantiki na kilishawishi watu wengi kulipa ni tozo isioumiza inayolipwa mara moja kwa mwaka.
 
Hiv hamuwez kutoa hoja bila kutukana????kwann mnamuona huyo mnaemsifia kila kukicha kama Malaika???
Maamuzi mangap ameyafanya na kulitia hasara Taifa???au ndo mahaba niue???
Machoko ni wengi humo ndio wazembe ambao wanamdiss JPM. Hakupora hela kwa maskini ila mambo yake alifanya.
 
Hiv hamuwez kutoa hoja bila kutukana????kwann mnamuona huyo mnaemsifia kila kukicha kama Malaika???
Maamuzi mangap ameyafanya na kulitia hasara Taifa???au ndo mahaba niue???
Kumpa hoja mwendawazimu inataka moyo bora kumpa spana tu
 
Mi sijakwapua mkuu ila pia ni vyema bilionea akachangia kodi sio mlalahoi abinywe kende halafu tajiri akwepe kodi aachwe. Huo ni ujinga ambao hautupeleki kokote. Kitambulisho cha elfu 2O kina mantiki na kilishawishi watu wengi kulipa ni tozo isioumiza inayolipwa mara moja kwa mwaka.
Hata sasa bilionea wanachangia zaidi kuliko nyie machoko,machoko hawana acconts banks ila qatu wa middle income na matajiri so wao Wana transact zaidi kuliko nyie machoko na hivyo wanachangia zaidi na hii ni across Kodi zote na sekta zote.
 
Hata sasa bilionea wanachangia zaidi kuliko nyie machoko,machoko hawana acconts banks ila qatu wa middle income na matajiri so wao Wana transact zaidi kuliko nyie machoko na hivyo wanachangia zaidi na hii ni across Kodi zote na sekta zote.
We wanakuchocha kweli, kati ya matajiri na middle income wangapi ni wengi kwa idadi? Matajiri hawafiki hata 3% ya 6OM residents.
 
We wanakuchocha kweli, kati ya matajiri na middle income wangapi ni wengi kwa idadi? Matajiri hawafiki hata 3% ya 6OM residents.
Walio wengi Kwa idadi wanachangia kidogo kulingana na kipato Chao,walio wachache Kwa idadi wanachangia kingi kulingana na vipato vyao..

Ndio maana Kodi ya Mo peke yake inaweza kuzidi nyie machoko mil.20..

So transactions za Mo zinaingiza tozo nyingi kuliko nyie machoko mil.20.
 
Walio wengi Kwa idadi wanachangia kidogo kulingana na kipato Chao,walio wachache Kwa idadi wanachangia kingi kulingana na vipato vyao..

Ndio maana Kodi ya Mo peke yake inaweza kuzidi nyie machoko mil.20..

So transactions za Mo zinaingiza tozo nyingi kuliko nyie machoko mil.20.
Wanakutia ndonga😂😂😂 mie kodi nayolipa kwa mwaka inawazidi Mo na suria wake babra na ukoo wao toka kizazi cha tatu nyuma.
 
Ndege hazina usimamizi mzuri ndio maana zinaonekana zinaleta hasara.

..sidhani kama hasara inatokana na usimamizi mbaya tu.

..hii biashara ni ngumu sana kuiendesha kwa nchi zenye mtaji mdogo kama Tz, na zisizokuwa na abiria wengi.

..wanaofanikiwa ktk biashara ya mashirika ya ndege ni wale wenye mapesa mengi kama Qatar, UAE, etc.

..Unaweza kuhoji mbona Ethiopia ni masikini, lakini wao wana sababu za kihistoria za kuwa hapo walipo.
 
Alionesha uthubutu wa serikali yake pia maamuzi yake yalikuwa imara leo hii ATCL ipo inafanya kazi ila wachache kama nyie hamtaki kuikubali nchi yenu...

..mimi sikuikubali Tz iliyogeuzwa kuwa mali binafsi ya Magufuli.
 
Jiwe alikuwa hakusanyi fedha. Alikuwa anapora fedha.

Tulikubaliana huyu mwendahovyo, mfedhuli, mwanaizaya bin shetwani, mtesaji na muuaji asitajwe tena hapa JF. Imekuwaje mleta mada ukamtaja?
Duh[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom