Dini ni utamaduni. Dini ni mwenendo. Utakuaje na dini kisha usifuate utamaduni,mwenendo na maadili yake?
Labda iwe dini mpya ila sio hizo
Tamaduni zilikiwepo kqbla ya dini,
Mfano kuvaa bulqa,lile vazi kama wavaavyo wanawake wa Afghanistan, lilikuwepo kqbla ya uislam,
Kule ni, jangwa, hakuna vichaka, sasa, mwanamke akitaka kujihifadhi, ilikuwa,shida,wanawake walihitaji, kujihifadhi, lile vazi linawawezesha kuchutama na kujihifadhi, sasa akaja Mudi na uislam wake, akalifanya vazi la dini,
Mikate ni cha kula cha watu wa Arabia, Sisi tutasema utupe ugari wetu wa kila siku, sio mikate, dini ni uhusiano na Mungu,dini sio kabila, tamaduni zote ni za Mungu, lazima yupo comfortable kufatwa kupitia utamaduni wowote,
Yani niitwe Rahman, au Hashim, harafu mkristo, Jesus aseme sikutambuhi,! Kisa sijaitwa Joseph, Mike au Luke, au Jordan! yaani, Mungu anabagua majina na tamaduni,! Pathetic