Tunaweza kuwa waislam au wakristo bila ya kubeba tamaduni za waliotuletea dini hizo?

Tunaweza kuwa waislam au wakristo bila ya kubeba tamaduni za waliotuletea dini hizo?

...dini ni uhusiano na Mungu,dini sio kabila, tamaduni zote ni za Mungu, lazima yupo comfortable kufatwa kupitia utamaduni wowote,
Lakini uhalisia upo hivyo?? Yaani tumeweza kuzifuata hizo dini bila ya kufuata tamaduni zao!?
Yani niitwe Rahman, au Hashim, harafu mkristo, Jesus aseme sikutambuhi,! Kisa sijaitwa Joseph, Mike au Luke, au Jordan! yaani, Mungu anabagua majina na tamaduni,! Pathetic
Angalia majina yetu...
 
Ngumu sana hasa kwa jirani wa mwarabu. Ukiangalia sinema ya Yesu mavazi wanayovaa wana wa mnyazi wameyaiga pale hadi kufuga ndevu tele na bado wanakomalia ni utamaduni wao na wao ndio wameigwa duh aiseee
Kwanza yule mzungu Brian Deacon sio Yesu, na Mtume wa Allah Yesu yuko mbali na matusi anayotukanwa na washirikina na sifa za uongo walizomzushia. Halafu sisi sio wana wa Allah uliyemkejeli hapo, sisi ni waja wa Allah. Sisi ni watumwa wa Allah. Na tunafurahia hilo.

Kufuga ndevu ni jambo la kimaumbile na ni Sunnah ya Mitume wote na kuvaa Kanzu Mtume Yesu na kuachia ndevu ni katika Sunnah ya Mitume, ambao wote walikuwa Waislam. Na ndio maana sisi Waislam tuna haki zaidi na Yesu kuliko wanaojifanya kumfuata ilhali wameacha Dini yake na kutunga dini mpya walioichanganya na upagani wa warumi. Yesu yuko mbali nao, nao wako mbali na Yesu mpaka wafuate Dini yake, Uislam.


1695109756826.png


64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.
(Qur-an 3 : 64)
 
Nilipanda usafiri wa umma naona mdada mmoja kavaa shungi yuko na kisimu chake ana play nyimbo sijui za kihindi,kiarabu mithili ya nyimbo za dini yao ,, nikamuangalia nikacheka tu,, niliwaza vitu vingo sana namna tunadanganywa

Allah azidi kumuongoza katika Uislam sahihi aujue na aufuate na amfishe katika Uislam na Sunnah.

Sisi kwetu Uislam ni Neema kubwa mno mno mno. Tunamuomba Allah atufishe katika Uislam na Sunnah na atuepushe kabisa na ukafiri na ushirikina. Tunaipenda Dini hii kuliko tunavyozipenda roho zetu.
 
Umeielewa hoja? Hoja inahoji juu ya imani kubebeshwa utamaduni.
Unakuta jitu liko Mtwara ndani ndani huko, linaotwa Omar Omar Ramadhan, au Erick Patrick Steven, sasa unajiuliza, jina lake la ukoo la mababu zake liko wapi?! Mtu hawezi akaitww Omar maneno na akawa muislam?
Tulia wewe acha kelele. Acha tujivunie Uislam wetu. Na tumshukuru Allah kwa neema hii na kuidhihirisha. Unataka tujifiche fiche ili wewe ufurahi? Laa, sisi hatuna shaka na Neema hii na hatuna shaka kuwa Uislam ndio Haqq. Sio kama nyinyi wenye mashaka na mnayoyaamini. Allah awaongoze.
 
Ukristu inawezekana ila Kwa wale wanaomwabudu mwarabu haiwezekani ,kuanzia Mavazi, lugha, vyakula, Kila kitu wamemwiga mwarabu
Tunamshukuru Allah kwa Neema ya Uislam na Sunnah.

Kufeni kwa chuki zenu.
 
Zingatia hili "ukristu ni uyahudi na uislamu ni uarabu" hapo hujachukuwa utamaduni wao? DNA yako inaendana na uyahudi au uarabu? Zingatia imani inayoendana na mababu zako. Mizimu yako ndio inakufikisha kwa Mungu wa kweli na ndicho chanzo chako. Waafrika tumepigwa kiimani! Please! Come out from the cave! I remember Plato and his theory "allegory of the cave ".
 
Hadi Yesu mmemuiba 😂😂😂🤣🤣🤣🤣aiseee haya mchukueni na Brian mrithike
Kwanza yule mzungu Brian Deacon sio Yesu, na Mtume wa Allah Yesu yuko mbali na matusi anayotukanwa na washirikina na sifa za uongo walizomzushia. Halafu sisi sio wana wa Allah uliyemkejeli hapo, sisi ni waja wa Allah. Sisi ni watumwa wa Allah. Na tunafurahia hilo.

Kufuga ndevu ni jambo la kimaumbile na ni Sunnah ya Mitume wote na kuvaa Kanzu Mtume Yesu na kuachia ndevu ni katika Sunnah ya Mitume, ambao wote walikuwa Waislam. Na ndio maana sisi Waislam tuna haki zaidi na Yesu kuliko wanaojifanya kumfuata ilhali wameacha Dini yake na kutunga dini mpya walioichanganya na upagani wa warumi. Yesu yuko mbali nao, nao wako mbali na Yesu mpaka wafuate Dini yake, Uislam.


1695109756826.png


64. Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Njooni kwenye neno lilio sawa baina yetu na nyinyi: Ya kwamba tusimuabudu yeyote ila Mwenyezi Mungu, wala tusimshirikishe na chochote; wala tusifanyane sisi kwa sisi kuwa Waola Walezi badala ya Mwenyezi Mungu. Na wakigeuka basi semeni: Shuhudi- eni ya kwamba sisi ni Waislamu.
(Qur-an 3 : 64)
 
Allah azidi kumuongoza katika Uislam sahihi aujue na aufuate na amfishe katika Uislam na Sunnah.

Sisi kwetu Uislam ni Neema kubwa mno mno mno. Tunamuomba Allah atufishe katika Uislam na Sunnah na atuepushe kabisa na ukafiri na ushirikina. Tunaipenda Dini hii kuliko tunavyozipenda roho zetu.
Wewe kumbe ni mjinga
 
Tulia wewe acha kelele. Acha tujivunie Uislam wetu. Na tumshukuru Allah kwa neema hii na kuidhihirisha. Unataka tujifiche fiche ili wewe ufurahi? Laa, sisi hatuna shaka na Neema hii na hatuna shaka kuwa Uislam ndio Haqq. Sio kama nyinyi wenye mashaka na mnayoyaamini. Allah awaongoze.
Endelea kutaja majina ya ki arabu ewe mtumwa usiejielewa

Mlidanganywa et haifai kutafsiri Ni dhambi😁
 
Tulia wewe acha kelele. Acha tujivunie Uislam wetu. Na tumshukuru Allah kwa neema hii na kuidhihirisha. Unataka tujifiche fiche ili wewe ufurahi? Laa, sisi hatuna shaka na Neema hii na hatuna shaka kuwa Uislam ndio Haqq. Sio kama nyinyi wenye mashaka na mnayoyaamini. Allah awaongoze.
Endelea kutaja majina ya ki arabu ewe mtumwa usiejielewa

Mlidanganywa et haifai kutafsiri Ni dhambi😁
 
Uturuki wamejitahidi sana kuchukua dini tu bila kuchukua utamaduni mwingine wa Waarabu.
 
Angekuwa Juma au Sefu huyo tungekoma ubishi.
Kwa Mtazamo Wa huyu ni kwamba Kila Juma ama sefu ni waislam...

Kwa Ivo kukataa kwamba huyu anauona uislam Kwa jicho la uarabui itakuwa ni kutokuukubali ukweli.

Jee tunawezaje kuutenganisha uislam na uarabu?
 
Back
Top Bottom