and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
Sidhani, unakuwa kijana wa makamo lakini si mzee..35yrs
NdioMi nina 39 na kichwa asilimia 50 ni cheupe, mimi ni mzee?
Miaka 39 sio mzee bana, ni kijana hata sio kijana senior....
Kuna tofauti kati ya kuzeeka (growing old) na kukua (growing up). Kuzeeka kunahusisha zaidi kuchakaa kwa mwili (wear and tear of body) kwa kasi kubwa. ilhali kukua kunahusha kuongezeka kwa umri/miaka ya kuishi. Unaweza ukawa na umri mdogo kmf miaka 39 lakini ukawa umezeeka kwa maana ya mwili kuchakaa kulinganisha na mwenye umri mkubwa kmf 60+ lakini akiwa na afya na siha nzuri. Muhimu ni kutunza miili yetu na kuepuka magonjwa na uchakavu usioendana na umri wetu. So grow up, donβt grow old.Mi nina 39 na kichwa asilimia 50 ni cheupe, mimi ni mzee?
Ndani kwenye tundu za pua jee
apoo ushazeeeka sn....anza kuwaza kifooSidhani, unakuwa kijana wa makamo lakini si mzee..
Vibinti vina tatizo gani?kweli uwe na pesa tu but pia uwe na nidhamu fulani mfano:
1.usiende kwenye mabaa au mapub ya vijana
2.usivae nguo za vijana
3.uwe unatoka mara moja kwa wiki na utoke na mkeo au wake zako
4.chunga lugha unayotumia kuongea
5.ukitaka kuchepuka vuta mdada wa uhakika,nenda nae mahali pa class ya juu na usiwe na papara kwenye sex,sex kwa utulivu,comfidently na very expertly na tumia kinga maana usimpelekee mkeo au wakezo magonjwa
6.usichukue vibinti kabisa
π€£π€£π€£Bora wewe mimi 35 kichwa cheupe na ndevu nyupe sana, hakuna cha piko wala nini mi mbele kwa mbele ππ
Alafu kuna vibinti vinaona hizi theluji kama swaga hivi, sema tu mi naheshimu ndoa ππ
π€£π€£ Jamani, tukubali tu tumekuwa wakubwa, lhaaMimi nimekutana na msichana mkubwa tunaweza kua sawa miaka au tumezidiana kidogo, lakini kaniamkia 'Shikamoo mama'
Niliitikia huku moyo unaniuma.
Kauli gani !?Ila kuna kale ka kauli wanatoa huwa kanakata stimu sana.
Kana kukumbusha kuwa umeshazeeka.
π π π π eti babu shkamoo. Vitoto muda mwingine vikiona mwanaume Ana kitambi vinajua anaweza kumzaa mzazi wakePole, sasa mimi mwanzo watoto nikikutana nao wananiita babu shikamoo, Dah nilikuwa naumia nafsi sana,wengine mama zao walikuwa wanawambia wee! Sio babu muite baba,
Sasaivi nishazoea,maana miaka 40 plus, katoto kalichozaliwa na mama mwenye miaka 20 au 22 ni haki kuniita babu.