Wewe usiongee kama mlevi, kajisome ulichoandika juu, nikakuuliza hivi:Dr Mohamed Juma unamjua? Si juzi kateuliwa Balozi? Ngoja nilete list kamili ya viongozi wa Alqaeda maadui wa Tanganyika miaka yote lakini leo hii wamepewa neema huku wasomi wa Tanganyika wakifa njaa. Wazenji wenyewe 95% vyeti si vyao.
Shemeji tena?Wewe usionge kama mlevim kajisome ulichoandika juu, nikakuuliza hivi:
Jussa ameteuliwa wapi? Yupo wapi Tanganyika?
Hujamaliza ya Jussa, unaleta ya Juma.
Ulitaka uteuliwe wewe kuwa balozi? Umehama lini kwa shemeji yako?
Kumbe hujui unalojadili? Nimesema inahitaji akili kujadili baadhi ya mambo. Nadhani hii si kiasi chako, achana nayo.Zanzibar nchi? Si ina serikali kamili? Mgeni amepewaje hadi Urais wa Nchi ya Tanganyika?
Hiyo Katiba inatamka kuwa ZANZIBAR ni moja ya NCHI MBILI zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ndivyo ilivyo kwa mujibu wa makubalino ya muungano na hivyo hiyo ni haki yake, haijalishi aliyetunga ni nani.Katiba ya Zanzibar imebadilishwa 2010 kabla ya uchaguzi mkuu itamke kuwa ZANZIBAR NI NCHI.
Sasa kama ilitengenezwa Zanzibar ivunje muungano, mbona muungano bado haujavunjwa?alibadilisha muanzilishi wa UAMSHO Alqaeda iliotengenezwa Zanzibar ivunje Muungano.
Huyu mtawala awepo asiwepo, katiba imeshabadilishwa na hayo ndiyo matakwa ya Wazanzibari walioipigia kura.Baraza la Wawakilishi lililobadilisha hio katiba ya Zanzibar walikuwepo kina Jussa na huyu mtawala. Anajulikana msimamo wake kama Jussa tu.
Hawa ndio walioko ikulu ya Tanganyika.Hiyo Katiba inatamka kuwa ZANZIBAR ni moja ya NCHI MBILI zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ndivyo ilivyo kwa mujibu wa makubalino ya muungano na hivyo hiyo ni haki yake, haijalishi aliyetunga ni nani.
Sasa kama ilitengenezwa Zanzibar ivunje muungano, mbona muungano bado haujavunjwa?
Huyu mtawala awepo asiwepo, katiba imeshabadilishwa na hayo ndiyo matakwa ya Wazanzibari walioipigia kura.
Ushauri wangu kwako:
Kwa kuwa hujui chochote kuhusu muungano, na kwa kuwa huna hata elimu ya muungano, na kwa kuwa - kwa maoni yangu - huna hata elimu, acha kujadili muungano kwani utaonekana mbumbumbu.
Sauti moja Zanzibar itatoka wapi na mumewaweka vibaraka wenu kwa mtutu wa bunduki na mumejaza wanajeshi kila mtaa kuna Kambi pamoja na usalama wenu wengine wanavaa mpaka rubega Za kimasaiUsiilaumu Tanganyika wakati Zanzibar haijawahi kuchukua hatua.
Zanzibar ikitaka kutoka kwenye Muungano ni kiasi cha kutamka tu.
Zanzibar hamjawahi kuwa na sauti moja kutaka kutoka kwenye Muungano.
Wapotoshaji kama nyinyi lazima mpingwe kwa nguvu zote. SSH hajauza na hana mamlaka ya kuuza hata robo ya mita ya ardhi ya JMT.Salamu wanajamvi!
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza, sisi watanzania ni wanafiki tuna hangaika kuzungu mbuyu wakati ukweli wote uko bayana. Hapo tuna fail.
Rais wa 42, wa Marekani Bill Clinton kwa kosa la kutembea na mwanamke Monica Lewinsky, mrembo wa miaka 21 ndani ya ikulu ya Marekani ilitosha kuwa impeached na Bunge la Makabwela. Kabla ya kupiga kura, mjadala ulikuwa mkali sana, na wabunge wengi walioneshwa kukerwa na tabia hiyo tena ndani ya Ikulu ya Marekani.
Baada ya mjadala kura zikapigwa, na wengi waliafiki kwamba Bill Clinton awe IMPEACHED. NA IKAWA HIVYO. Sasa, issue yake ikaenda bunge la Senate ili liinidhishe kwa mujibu wa kanuni zao. Huko nako shughuli ilikuwa pevu.akaponea chupu chupu.
Sasa turudi kwenye sakata la DP WORLD na bandari za TANGANYIKA. Kimsingi Rais Samia amevunja KATIBA ya JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA Kwa kuuza sovernity ya Nchi yetu na kuikasimu wa Waarabu kwa kujua au kwa kuto kujua. Hilo halimfanyi asiwe na kosa.
Je, Bunge letu linaweza kumfanyia IMPEACHMENT na hatimaye kuondolewa ofisini kwa kosa lake hili?
Kwa KATIBA hii hii mbovu hilo linawezekana. Shida ni moja kubwa nayo ni udhaifu wa taasisi za kiserikali tulizo nazo. Siwezi kusema hazijitambui , lakini nafikiri huwa zina dhani Rais ni Mungu mtu.
Kwa kosa hili moja tu, Rais Samia alistahili kuwa IMPEACHED, Kwakuwa bado yupo ofisini najiuliza ni kosa gani Rais akifanya atakuwa impeached na kufunguliwa mashitaka?
Kuuza bandari zetu zote na kukabidhi sovernity ya Nchi yetu kwa Waarabu sisi bado tunazunguka mbuyu tu..............!
Usalama gani wakati hata vyuo vya kijeshi Tanganyika wamepelekwa Wazanzibari kina Dr Mzee? Kuhakikisha hata jeshini ni Wazanzibari watupu, serikalini na chama teyari. Hata maDCSaudi moja Zanzibar itatoka wapi na mumewaweka vibaraka wenu kwa mtutu wa bunduki na mumejaza wanajeshi kila mtaa kuna Kambi pamoja na usalama wenu wengine wanavaa mpaka rubega Za kimasai
Jussa juzi Pemba kasema mkutanoni kuwa sikuizi hakuna kupiga hesabu kwamba Zanzibar inastahiki kiasi gani cha pesa katika mgao, kasema sikuizi Rais anaamua tu hili fungu liende Zanzibar. Wote watoto wa Amani.Wapotoshaji kama nyinyi lazima mpingwe kwa nguvu zote. SSH hajauza na hana mamlaka ya kuuza hata robo ya mita ya ardhi ya JMT.
Ukodishaji wa eneo hata wewe mleta mada unaufanya unapoamua kumpangisha mtu katika nyumba yako au kumpa kiwanja chako ili afanye biashara.
Hiyo ni tofauti kabisa na uuzwaji wa eneo. Mnaweza kuwa mpo kazini kwa maana ya kulipwa pesa kila mnapopotosha lakini msifikie hatua ya kujitoa akili.
Sina elimu? Ujuzi wa Mambo? Au nikujuze kasagwa nani na lini? Au nikujuze wanywa Konyagi wakubwa wa nchi hii?Hiyo Katiba inatamka kuwa ZANZIBAR ni moja ya NCHI MBILI zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ndivyo ilivyo kwa mujibu wa makubalino ya muungano na hivyo hiyo ni haki yake, haijalishi aliyetunga ni nani.
Sasa kama ilitengenezwa Zanzibar ivunje muungano, mbona muungano bado haujavunjwa?
Huyu mtawala awepo asiwepo, katiba imeshabadilishwa na hayo ndiyo matakwa ya Wazanzibari walioipigia kura.
Ushauri wangu kwako:
Kwa kuwa hujui chochote kuhusu muungano, na kwa kuwa huna hata elimu ya muungano, na kwa kuwa - kwa maoni yangu - huna hata elimu, acha kujadili muungano kwani utaonekana mbumbumbu.
Wamepelekwa ,ππwangapi ? Kina Dr Mzee ? ππππππUsalama gani wakati hata vyuo vya kijeshi Tanganyika wamepelekwa Wazanzibari kina Dr Mzee? Kuhakikisha hata jeshini ni Wazanzibari watupu, serikalini na chama teyari. Hata maDC
2025 siyo mbali
endeleeni kujitoa ufahamu tukauza nchi listi alizo pewa ziko wap?
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.Bandari watachukua na hakuna kitu utafanya wewe nenda Mbeya ukauze maparachichi ,bandari zinawahusu watu wa pwani .
Huko kwenu maparachichi hata muwauzie wachina hatuna noma ila mpunguze shobo na maamuzi yetu.
Nshangaa wanyakyusa mpo mbele mbele kama sio umbea.!!
mhn! yaani afadhari umkute bodaboda anamgonga binti yako chumbani kwako na kwenye chumba chako! lakini hili nakosa tusi la kuwatukana! nimeamini kuwa kaburi hata ulipambe vipi mwisho wa siku limehifadhi mifupa tu na kwa bahati mbaya haina mlango wa kutokea!bandari ni issue ya muungano, bandari zilizouzwa ni za bara tu, na waliouza ni wazanzibar, hivi hawa wazanzibar wanatutakia nini, wana uchungu kweli na Tanganyika? au wapo hapa kuchuma wakijua wana kwao kwa kukimbilia, watanganyika tuamke.
Wewe sema tu, sina la kuogopaSina elimu? Ujuzi wa Mambo? Au nikujuze kasagwa nani na lini? Au nikujuze wanywa Konyagi wakubwa wa nchi hii?
Elimu ndio kujua kila kitu? Wewe sema unaogopa najua mengi.
Huyo atakusumbua bure hata anachajadili hakijuiKumbe hujui unalojadili? Nimesema inahitaji akili kujadili baadhi ya mambo. Nadhani hii si kiasi chako, achana nayo.
Ikiwa ni hawa ni sawa, mimi nilidhani ni wengineHawa ndio walioko ikulu ya Tanganyika.
Tanganyika kuna ikulu? Tanganyika ipi hiyo?Hawa ndio walioko ikulu ya Tanganyika.