Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

Dr Mohamed Juma unamjua? Si juzi kateuliwa Balozi? Ngoja nilete list kamili ya viongozi wa Alqaeda maadui wa Tanganyika miaka yote lakini leo hii wamepewa neema huku wasomi wa Tanganyika wakifa njaa. Wazenji wenyewe 95% vyeti si vyao.
Wewe usiongee kama mlevi, kajisome ulichoandika juu, nikakuuliza hivi:

Jussa ameteuliwa wapi? Yupo wapi Tanganyika?


Hujamaliza ya Jussa, unaleta ya Juma.

Ulitaka uteuliwe wewe kuwa balozi? Umehama lini kwa shemeji yako?
 
Wewe usionge kama mlevim kajisome ulichoandika juu, nikakuuliza hivi:

Jussa ameteuliwa wapi? Yupo wapi Tanganyika?


Hujamaliza ya Jussa, unaleta ya Juma.

Ulitaka uteuliwe wewe kuwa balozi? Umehama lini kwa shemeji yako?
Shemeji tena?
 
Katiba ya Zanzibar imebadilishwa 2010 kabla ya uchaguzi mkuu itamke kuwa ZANZIBAR NI NCHI.
Hiyo Katiba inatamka kuwa ZANZIBAR ni moja ya NCHI MBILI zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na ndivyo ilivyo kwa mujibu wa makubalino ya muungano na hivyo hiyo ni haki yake, haijalishi aliyetunga ni nani.
alibadilisha muanzilishi wa UAMSHO Alqaeda iliotengenezwa Zanzibar ivunje Muungano.
Sasa kama ilitengenezwa Zanzibar ivunje muungano, mbona muungano bado haujavunjwa?
Baraza la Wawakilishi lililobadilisha hio katiba ya Zanzibar walikuwepo kina Jussa na huyu mtawala. Anajulikana msimamo wake kama Jussa tu.
Huyu mtawala awepo asiwepo, katiba imeshabadilishwa na hayo ndiyo matakwa ya Wazanzibari walioipigia kura.

Ushauri wangu kwako:
Kwa kuwa hujui chochote kuhusu muungano, na kwa kuwa huna hata elimu ya muungano, na kwa kuwa - kwa maoni yangu - huna hata elimu, acha kujadili muungano kwani utaonekana mbumbumbu.
 
Hawa ndio walioko ikulu ya Tanganyika.
 

Attachments

  • 5425669-b060b0334ba4460683e8657081fff735.mp4
    1.9 MB
Usiilaumu Tanganyika wakati Zanzibar haijawahi kuchukua hatua.

Zanzibar ikitaka kutoka kwenye Muungano ni kiasi cha kutamka tu.

Zanzibar hamjawahi kuwa na sauti moja kutaka kutoka kwenye Muungano.
Sauti moja Zanzibar itatoka wapi na mumewaweka vibaraka wenu kwa mtutu wa bunduki na mumejaza wanajeshi kila mtaa kuna Kambi pamoja na usalama wenu wengine wanavaa mpaka rubega Za kimasai
 
Wapotoshaji kama nyinyi lazima mpingwe kwa nguvu zote. SSH hajauza na hana mamlaka ya kuuza hata robo ya mita ya ardhi ya JMT.

Ukodishaji wa eneo hata wewe mleta mada unaufanya unapoamua kumpangisha mtu katika nyumba yako au kumpa kiwanja chako ili afanye biashara.

Hiyo ni tofauti kabisa na uuzwaji wa eneo. Mnaweza kuwa mpo kazini kwa maana ya kulipwa pesa kila mnapopotosha lakini msifikie hatua ya kujitoa akili.
 
Saudi moja Zanzibar itatoka wapi na mumewaweka vibaraka wenu kwa mtutu wa bunduki na mumejaza wanajeshi kila mtaa kuna Kambi pamoja na usalama wenu wengine wanavaa mpaka rubega Za kimasai
Usalama gani wakati hata vyuo vya kijeshi Tanganyika wamepelekwa Wazanzibari kina Dr Mzee? Kuhakikisha hata jeshini ni Wazanzibari watupu, serikalini na chama teyari. Hata maDC
 
Jussa juzi Pemba kasema mkutanoni kuwa sikuizi hakuna kupiga hesabu kwamba Zanzibar inastahiki kiasi gani cha pesa katika mgao, kasema sikuizi Rais anaamua tu hili fungu liende Zanzibar. Wote watoto wa Amani.
 

Attachments

  • Screenshot_20230724_212739_Chrome.jpg
    156.8 KB · Views: 1
Sina elimu? Ujuzi wa Mambo? Au nikujuze kasagwa nani na lini? Au nikujuze wanywa Konyagi wakubwa wa nchi hii?

Elimu ndio kujua kila kitu? Wewe sema unaogopa najua mengi.
 
Usalama gani wakati hata vyuo vya kijeshi Tanganyika wamepelekwa Wazanzibari kina Dr Mzee? Kuhakikisha hata jeshini ni Wazanzibari watupu, serikalini na chama teyari. Hata maDC
Wamepelekwa ,😝😝wangapi ? Kina Dr Mzee ? 😜😜😜😝😝😝
 
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana.
 
bandari ni issue ya muungano, bandari zilizouzwa ni za bara tu, na waliouza ni wazanzibar, hivi hawa wazanzibar wanatutakia nini, wana uchungu kweli na Tanganyika? au wapo hapa kuchuma wakijua wana kwao kwa kukimbilia, watanganyika tuamke.
mhn! yaani afadhari umkute bodaboda anamgonga binti yako chumbani kwako na kwenye chumba chako! lakini hili nakosa tusi la kuwatukana! nimeamini kuwa kaburi hata ulipambe vipi mwisho wa siku limehifadhi mifupa tu na kwa bahati mbaya haina mlango wa kutokea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…