Tunazunguka mbuyu hatutaki kusema ukweli

🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Najua kuwa Kikwete kampeleka jela gaidi la Uamsho Shekhe Myemen Farid. Lakini ndio mwenye Tanganyika leo, nchi anayoichukia.
 

Attachments

  • 5425669-b060b0334ba4460683e8657081fff735.mp4
    1.9 MB
Na Mama Samia kamtowa jela, unalijuwa hilo?
Nsilijuwe, hao mashehe naishi nao vooo🤣🤣
Wamepewa mabilioni ya pole kwa kufungwa na Kikwete. Wote wamevunja nyumba zao na kujenga upya. Saivi mabosi voo.
Lakini wanyamaza kidogo wasimponze Dada wasije amka makafir Watanganyika
 
Nsilijuwe, hao mashehe naishi nao vooo🤣🤣
Wamepewa mabilioni ya pole kwa kufungwa na Kikwete. Wote wamevunja nyumba zao na kujenga upya. Saivi mabosi voo.
Lakini wanyamaza kidogo wasimponze Dada wasije amka makafir Watanganyika
Silioni tatizo hapo.

Point yangu ni hicho kilichowafunga ni kuitaka Tanganyika iwepo. Nyinyi mnastuka leo. Ma sheikh wameliona zamani hilo na limewafunga wengi na wengine wamepoteza maisha yao jela. Wengine wameng'olewa kwenye madaraka.


Unakijuwa kisa cha Sheikh Aboud Jumbe, au ulikuwa hujazaliwa bado?
 
Haya Maswali mazito mno....Hilo lisisiem halitarudi hapa tena
 
Mindset yako ndiyo inayofanya afrika tunakuwa nyuma. America Ni kubwa mno na pia China na India Ila huwezi sikia hizi story. So huko mbeya wakivamiwa wanajeshi wa Arusha,mtwara wasiende kuipambania mbeya mana haiwahusu, haya bana keep it up
 
Jumbe, Jussa, Samiha, Maalim Seif, Amani Karume. Wote lao moja.

Kosa la Jumbe ni mikakati ya kuvunja Muungano, katika kuelekea huko;

Moja kaanzisha Bunge la Zanzibar, akaliita Baraza la Wawakilishi.
Pili Kaanzisha Majeshi ya Zanzibar, yakaitwa KMKM, FIRE na JKU na Amani akaja kuanzisha VALANTIA waliokuwa kama UVCCM tu zamani sikuizi majeshi kamili yenye silaha na yasiyo tiifu kwa Muungano.

Tatu jumbe kakodi mawakili kisiri wa kimataifa kutengeneza hii katiba ya Zanzibar ya nchi huru ya 1984 iliorekebishwa na Amani serikali ya kina Samiha itamke kuwa Zanzibar ni nchi.

Jumbe kafanya yote akiwa anasaidiana na Waziri Mkuu wa Zanzibar (Waziri Kiongozi au kwa sasa cheo hicho huitwa Makamo wa pili) ambae ni Maalim Seif Sharrif Hamad, ambae pia alikuwa Mhasini Mkuu wa CCM na alikuwa Mjumbe wa Kamati kuu na Halmashauri Kuu.

Ndio ujue CCM inaweza kuendeshwa na maadui wake kama sasa. 🤣🤣🤣🤣 karibu urojo leo nipo Kizimkazi napiga story na mashangaz zangu, kama watu wa hapa kila mtu ana damu ya Ununio Dar hata Samia.
 

Attachments

  • Screenshot_20230724_212739_Chrome.jpg
    156.8 KB · Views: 2
Tatizo nini?
 
Jumbe kafanya yote akiwa anasaidiana na Waziri Mkuu wa Zanzibar (Waziri Kiongozi au kwa sasa cheo hicho huitwa Makamo wa pili) ambae ni Maalim Seif Sharrif Hamad,
Huwa tunasema wengine mndandia tu. Jumbe alishirikiana na Waziri Kiongozi Seif Sharif!!!

Nikujuze tu kwamba maalim Seif alikuwa Waziri Kiongozi wakati mzee Mwinyi akiwa Rais wa Zanzibar.

Jitahidi kujifunza kabla kuandika. Wengine tutakuona mwehu. Akili ya kuambiwa changanya na yako.
 
Hizi nazo ni akili za kipumbavu na kwa kiwango kisichopimika. Huna unachojuwa zaidi ya kupanua Domo lako na kutumia akili yako kiduchu kwa ujinga grade one.
 
Mindset yako ndiyo inayofanya afrika tunakuwa nyuma. America Ni kubwa mno na pia China na India Ila huwezi sikia hizi story. So huko mbeya wakivamiwa wanajeshi wa Arusha,mtwara wasiende kuipambania mbeya mana haiwahusu, haya bana keep it up
Sikuwa na wala siwez kufanya ubaguzi ila wenzio ndo wanaleta ubaguzi.

Ukileta hoja za ubaguzi najibu Kwa ubaguzi fanya kufuatilia huko juu
 
Hizi nazo ni akili za kipumbavu na kwa kiwango kisichopimika. Huna unachojuwa zaidi ya kupanua Domo lako na kutumia akili yako kiduchu kwa ujinga grade one.
Ndo maana we kama mtoto wa kike ,jaribu kufuatilia huko juu.

Usiwe unakurupuka mbele ya wanaume siku nyingine kaa kimya.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…