Weka picha mkuuMmh za chini chini zinadai hilo duka sio lake, jina tu limetumika, tunda hana ubavu wa kufungua duka kama hilo, wanazengo wanasema duka ni la Fred vunja bei . Huyu fred nae anawachezea wasanii mxieew ila ninachompendea anajua kuwatumia kimwili na biashara View attachment 1609984
Vyote binamPicha ya nini binamu? Duka au Fred?
Mkuu hapo sehemu za siri zimeumia bila shakaWadau akitoa jibu mtaji amepata wap mni tag.
Nguo zenyewe midosho
Ova
Tshirt 10000 yani inabei sawa na boxer,hiyo sio tshirt ukifua mara moja kola inakua kubwa kama mkufuNguo za vunjabei ni original usipime wewe
Ushaona wapi vans original inauzwa 20k?Nguo za vunjabei ni original usipime wewe
Hiyo sio vans itakua evansUshaona wapi vans original inauzwa 20k?