Tunda afungua Duka la Nguo...

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Mmh za chini chini zinadai hilo duka sio lake, jina tu limetumika, tunda hana ubavu wa kufungua duka kama hilo, wanazengo wanasema duka ni la Fred vunja bei . Huyu fred nae anawachezea wasanii mxieew ila ninachompendea anajua kuwatumia kimwili na biashara
 
Yani we jamaa bhana.... unajua wakimaro wangapi wenye maduka hapa mjini?
Duka kitu ya kawaida mnoo yanmno kwa upbringing ya huyo dogo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…