Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Kimsingi bongo nguo original ambazo sio low standard au counterfit ni chache sana..Labda kwenye maduka ya woolworthHiyo sio vans itakua evans
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kimsingi bongo nguo original ambazo sio low standard au counterfit ni chache sana..Labda kwenye maduka ya woolworthHiyo sio vans itakua evans
These days sijui kawaje?..mimi bado nitamtafuna lakini sio kama yule wa zamanihuyu mtoto alikuw mzuri ila sshv ht anipe bure siitaki..dahh wanawake ringeni tuu ila fainal yenu huwa haiko mbali
Usisahau condom mkuu!!These days sijui kawaje?..mimi bado nitamtafuna lakini sio kama yule wa zamani
Unagegedaje celebs kama Tunda bila Ndomu?..Hell nahUsisahau condom mkuu!!
Msemo wa Jumalokole kwamba amefika kwa heshima ya FredMmh za chini chini zinadai hilo duka sio lake, jina tu limetumika, tunda hana ubavu wa kufungua duka kama hilo, wanazengo wanasema duka ni la Fred vunja bei . Huyu fred nae anawachezea wasanii mxieew ila ninachompendea anajua kuwatumia kimwili na biashara View attachment 1609984
Splash ananguo nzuri sana za turkey,tulishasahau nguo za china kitamboKimsingi bongo nguo original ambazo sio low standard au counterfit ni chache sana..Labda kwenye maduka ya woolworth
Huko mikoani ndio mnadanganyana.Nguo za vunjabei ni original usipime wewe
Safi..Bongo midosho imejaa sana,unakuwa unavaa saresare na wakujaSplash ananguo nzuri sana za turkey,tulishasahau nguo za china kitambo
Ipatie picha jeans iliyotengenezwa na kuingizwa nchini kwa sh.10000 tu za TanzaniaHuko mikoani ndio mnadanganyana.
Hii nchi CCM itatawala milele kwa kuwa na raia wapumbavu sampuli yako.
Splash wako wapi??Splash ananguo nzuri sana za turkey,tulishasahau nguo za china kitambo
Mlimani city,arusha pia wako TFA complexSplash wako wapi??
Ndio kitu nakichukia kuhus minguo hii ya madukani...mnajikuta kama kadhaa hiv mko sare sareSafi..Bongo midosho imejaa sana,unakuwa unavaa saresare na wakuja
Original unamaanisha nini?Nguo za vunjabei ni original usipime wewe