Tunda afungua Duka la Nguo...

Tunda afungua Duka la Nguo...

Hahahah nguo za elfu 10 lazma ziwe substandard tu.

Mfanyabiashara focus yake ni faida.
Akila buku 3 katika kila nguo sio kesi anasogea na bei ikiwa flat rate possibility ya kutengeneza pesa ya kutosha ni kubwa sana ukiwa mjanja mjanja.

Fredy amejua kucheza na key
 
huyu mtoto alikuw mzuri ila sshv ht anipe bure siitaki..dahh wanawake ringeni tuu ila fainal yenu huwa haiko mbali
These days sijui kawaje?..mimi bado nitamtafuna lakini sio kama yule wa zamani
 
Mmh za chini chini zinadai hilo duka sio lake, jina tu limetumika, tunda hana ubavu wa kufungua duka kama hilo, wanazengo wanasema duka ni la Fred vunja bei . Huyu fred nae anawachezea wasanii mxieew ila ninachompendea anajua kuwatumia kimwili na biashara View attachment 1609984
Msemo wa Jumalokole kwamba amefika kwa heshima ya Fred


Mji mzito huu
 
Huko mikoani ndio mnadanganyana.


Hii nchi CCM itatawala milele kwa kuwa na raia wapumbavu sampuli yako.
Ipatie picha jeans iliyotengenezwa na kuingizwa nchini kwa sh.10000 tu za Tanzania
 
Dah aisee huyu jamaa Fredy ninaye muona leo sio yule nilokua namfaham enzi zile iringa nikiwa natembelea pale kwao Mitaa ya samora naenda kucheza na wadogo zake Franco & Felix yy akiwa mdau sana wa basket ball pale viwanja vya kanisa katoliki mshindo.
Siku nakuja kujua Fredy ndio vunja bei nilichoka.

Acha awatumie tu wasanii maana ukikosa akili halafu njaa nayo ikakuandama plus kupenda maisha feki yasiyo level zako ,utakwepa kutumiwa?
Acha achape mpaka akil zikae sawa.
 
Back
Top Bottom