Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #81
Joined march 2017 ,Karibu jamii forumsWw nawe nani kakuambia tuna haja yakuziona hizo picha, ww ndiyo unazidi kumuanika eti unajifanya kusikitika unafiki tu angekuwa mwanao ameharibika ungerusha hizi picha?
Tunda sio kahaba mkuu chunga sana kauli yako.
Umenikera kweli
SawaKama cio kahaba anafanya kazi gani kwani ww inaonyesha unamtaka alafu huna kitu unakula kwa macho
Kama wewe ni shabiki wake basi wewe ni mtu hovyo hovyo kuliko hao unaowatuhumu.Shabiki.
hahaha so true kabisaSiku zote binti akiwa mrembo halafu upstairs hapatoshi, pale mahala pa nyeti huwa panasulubiwa sana.
SawaKama wewe ni shabiki wake basi wewe ni mtu hovyo hovyo kuliko hao unaowatuhumu.
Mimi kama Hance MtanashatiAnakukwaza ww kama nani
Watu wanafaidi aiseeKwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.
Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.
Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .
Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .
View attachment 633693
View attachment 633694
haya bwana ni shida jamniBila kufanya hvyo hapa mjini ataishije sasa?
We pambana na hali yako,hela huna muite tu shemejii
AhahahahahahahahahaKereka tena kufaaaaaa maana mtakuwa mmetupunguzia wanaume mazwazwa
Ni shoga au hanithi?Yuko na david hapo...
Jamaa hana madhara kabisa
fr though
Haka kabinti kazuri sasa hiyo picha ya mwisho huyo njemba mbona anaonekana kama nyuki wa mashine.
Muache akalie misumali