Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Tunda ananikwaza na tabia yake ya kujiachia achia hovyo na midume na kupiga picha za nusu utupu

Ww nawe nani kakuambia tuna haja yakuziona hizo picha, ww ndiyo unazidi kumuanika eti unajifanya kusikitika unafiki tu angekuwa mwanao ameharibika ungerusha hizi picha?
Joined march 2017 ,Karibu jamii forums
 
Siku zote binti akiwa mrembo halafu upstairs hapatoshi, pale mahala pa nyeti huwa panasulubiwa sana.
 
Kwa kweli hamna kitu anachonikwaza Tunda kama nikimuona akijiachia achia hovyo na midume ya ajabu ajabu ajabu huwa nagadhibika sana.

Yaani naona kabisa siku hizi anataka kuwa kama hawa vinuka mkojo akina Gigy Money na Amber Lulu maana hawa hawajui kabisa thamani ya mwanamke ndio maana kila kukicha wanayaanika anika hovyo maumbile yao.

Sasa naumia kumuona Tunda anazidi kupotea siku hizi ,sijui anakosa nini huyu binti daah .

Sina mengi mengine ngoja nibaki nayo tu moyoni nitayatoa siku zijazo .

View attachment 633693

View attachment 633694
Watu wanafaidi aisee
 
Yuko na david hapo...
Jamaa hana madhara kabisa

fr though
 
Mwanaume kwa maana ya Mwanaume, haangaikaki na vijitu vya hivyo.
 
Back
Top Bottom