Haya Mbona yapo mengi sana Huku MaraKuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.
Uyole yamejaa teleKuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.
Leo nimekaa nimeyakumbuka matunda ya kwetu yanaitwa ndati, sema siwezi yapata hadi nirudi kwetu, ila ili kupoza moyo nitaenda sokoni kutafuta mengine ambayo nilikuwa nakula utotoni yanaitwa ntalali au sungwi kama wengi wanavyoyaita maana huku nilipo yanapatikana.
Kwa bahati mbaya picha ya ndati sina ningewaonesha.
View attachment 2790027
Picha ya sungwi au ntalali kwa msaada wa mtandao
Anna,sawa mkuuNiliyokuwa nayataka ni ndati sijayapata ila nitanunua hayo kwa kuwa yanapatikana kama nilivyoeleza
Nishayamis harufu yake..dahKuna matunda ya asili mengine yanapatikana kwenye maeneo fulani tu, unakuta umekua ukiyala na baada ya kuondoka hapo kwenda sehemu nyingine huyaoni tena.
Mbii umupanga ne!?!Matogo, lade, zambarau, Singidani kwetu.